Ukifiwa na dada yako, Je ushemeji kwa mumewe utaendelea?

Ukifiwa na dada yako, Je ushemeji kwa mumewe utaendelea?

Kwa hiyo mkuu utaacha kufuatilia maendeleo ya watoto wa marehemu dada yako?..

Binafsi sina mazoea na mashemeji ila watoto wakishaingia kwenye picha. Hata kama haziivi ni lazma muwe mna hata salamu kwa ajili ya watoto mkuu
Najaribu kuipima kwa mazingira ya kisasa ''kibepari'' baba yao anajiweza na amewapeleka bweni wote, na ameamua kuvuta kitu kipya. Wewe utakuwa unawasiliana nao kwa staili ipi?
 
Najaribu kuipima kwa mazingira ya kisasa ''kibepari'' baba yao anajiweza na amewapeleka bweni wote, na ameamua kuvuta kitu kipya. Wewe utakuwa unawasiliana nao kwa staili ipi?
Uwezo wa baba yao hauhusiani na nafasi yako kwa watoto wa dada yako mkuu.

Imagine watoto wamepoteza mama na uhakika wa care watayopewa katika familia mpya. Hakuna mwenye nayo

Hivyo, watoto watakimbilia wapi kama sio kwenye ndugu wa mama yao?..

Kingine mkuu, kwani kipindi cha likizo huwezi mpigia simu ili ukutane na watoto au la, kama shule inaruhusu visiting. Kwani haiwezekani kwenda kuwatembelea

Mbona ni simple mkuu
 
Chukulia huu mfano:-

Dada yako ameolewa na John, na wakabahatika kupata watoto wawili; na watoto hao wanasoma shule ya msingi bweni.
Baada ya siku kadhaa, dada yako akaugua na umauti ukamkuta; mkafanya taratibu za mazishi na mkakamilisha.

Sasa John (mmewe dada yako) ameshindwa kuvumilia maisha ya upweke, na ameamua kuanza harakati za kutafuta chimbo jipya.

Swali; Je ushemeji wenu kwa John utaendelea, na je utakuwa na nguvu kama pale awali?​
Ushemeji unaishaje sasa?Kwa hiyo na wapwa wako utabadilisha jina la kuwaita?
 
Uwezo wa baba yao hauhusiani na nafasi yako kwa watoto wa dada yako mkuu.

Imagine watoto wamepoteza mama na uhakika wa care watayopewa katika familia mpya. Hakuna mwenye nayo

Hivyo, watoto watakimbilia wapi kama sio kwenye ndugu wa mama yao?..

Kingine mkuu, kwani kipindi cha likizo huwezi mpigia simu ili ukutane na watoto au la, kama shule inaruhusu visiting. Kwani haiwezekani kwenda kuwatembelea

Mbona ni simple mkuu
Naona upande wa mke itabidi watumie nguvu nyingi sana katika kuliweka sawa
 
Back
Top Bottom