Nadhani kazungumzia shemeji wa jinsia tofauti.Ukifiwa na mkeo ushemeji kwa kaka zake unakufa?
Najaribu kuipima kwa mazingira ya kisasa ''kibepari'' baba yao anajiweza na amewapeleka bweni wote, na ameamua kuvuta kitu kipya. Wewe utakuwa unawasiliana nao kwa staili ipi?Kwa hiyo mkuu utaacha kufuatilia maendeleo ya watoto wa marehemu dada yako?..
Binafsi sina mazoea na mashemeji ila watoto wakishaingia kwenye picha. Hata kama haziivi ni lazma muwe mna hata salamu kwa ajili ya watoto mkuu
ha ha haNaenda kumuoa dada yake shemeji ili nilipize kisasi na yeye aanze kuniita bwashee kupitia dada yake.
Kama ni mwanaume, inakuwaje?Nenda uolewe na John, utalea hao watoto vizuri maana ni wapwa zako.
Uwezo wa baba yao hauhusiani na nafasi yako kwa watoto wa dada yako mkuu.Najaribu kuipima kwa mazingira ya kisasa ''kibepari'' baba yao anajiweza na amewapeleka bweni wote, na ameamua kuvuta kitu kipya. Wewe utakuwa unawasiliana nao kwa staili ipi?
Ushemeji unaishaje sasa?Kwa hiyo na wapwa wako utabadilisha jina la kuwaita?Chukulia huu mfano:-
Dada yako ameolewa na John, na wakabahatika kupata watoto wawili; na watoto hao wanasoma shule ya msingi bweni.
Baada ya siku kadhaa, dada yako akaugua na umauti ukamkuta; mkafanya taratibu za mazishi na mkakamilisha.
Sasa John (mmewe dada yako) ameshindwa kuvumilia maisha ya upweke, na ameamua kuanza harakati za kutafuta chimbo jipya.
Swali; Je ushemeji wenu kwa John utaendelea, na je utakuwa na nguvu kama pale awali?
Naona upande wa mke itabidi watumie nguvu nyingi sana katika kuliweka sawaUwezo wa baba yao hauhusiani na nafasi yako kwa watoto wa dada yako mkuu.
Imagine watoto wamepoteza mama na uhakika wa care watayopewa katika familia mpya. Hakuna mwenye nayo
Hivyo, watoto watakimbilia wapi kama sio kwenye ndugu wa mama yao?..
Kingine mkuu, kwani kipindi cha likizo huwezi mpigia simu ili ukutane na watoto au la, kama shule inaruhusu visiting. Kwani haiwezekani kwenda kuwatembelea
Mbona ni simple mkuu
Ataanza kulia tu.Sasa dada akiondoka,inakuwaje?
Dah..!! Vipi, mdogo wako hajambo?mtu kama lucas huyu wa JF we unafikiri yupo wapi si kwa dada yake
Lakini unakuwa hauna nguvu/maamuziInatokea sana Dada kaachika ila ushkaji au ushemeji wenyewe hauishi.
Unakuwa hauna nguvu katika maamuziUshemeji unaishaje sasa?Kwa hiyo na wapwa wako utabadilisha jina la kuwaita?
Unakuwa hauna nguvu kimaamuziUshemeji na ukwe hauishi hata kama mmeachana au mmoja amekufa.
Hiyo ni sawa tu na shemeji kuoa wake zaidi ya mmoja.Ushemeji haufi.Unakuwa hauna nguvu katika maamuzi
AJAMBO ILA ANAMSUBIRI LUCASDah..!! Vipi, mdogo wako hajambo?
Hapana wasimuangalie mume wa dada yao ila focus iwe kwa watoto ili wasijihisi wametelekezwaNaona upande wa mke itabidi watumie nguvu nyingi sana katika kuliweka sawa