Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote

Ukifuatilia akaunti ya Peter Madeleka Twitter; utabaini ni mtu mwenye kisasi na asiyefaa kupewa madaraka yoyote

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
 
Mawakili wansoma sheria Ili waweze kudai haki zao Kwa mujibu wa sheria siyo Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii; nimemshauri kama anakitu hakipo sawa aende kwenye sheria


Kutafuta popularity mitandaoni ni ushamba Kwa msomi; mwaka mzima analalamika TU Kila Siku bila kueleza Kwanini serikali inampuuza?

Mawakili au watanzania wote wakiwekeza kuandika matatizo Yao mitandaoni nakuchafua watu tutafika? Mwisho anafunguliwa deformation aanze kulaumu mahakama kumbe ni ujinga wake. Awali nilimpigia Sana kelele hapa JF lakini nimegundua ajitambui na nikija dar ntamtafuta nimweleze ukweli.

Umaarufu wa kijinga anatafuta; wanaharakati hatupo hivi. Anatuaibisha na nimemwambia mara kadhaa DM acha ujinga peleka hizi taasisi mahakamani kama ni kweli una haki na sisi tukuunge mkono yeye amekalia makelele na majungu TU.

Hakina Fatma wangekalia kuandika watu mitandaoni wasingewajibisha serikali, wanapeleka serikali mahakamani
kwa hoja mitandao inakuwa nyongeza TU

Mashaka yangu ni pale atakapowajibishwa Kwa makosa anayofanya yakuchafua watu then tukaanza kumlilia, lazima tukanyane hata Mimi nikikosa nakanywa najirekebisha.
 
M
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
Mwandishi wa habari hujui matumizi ya "h" na " a" kwenye neno la kukanusha?!
"awakumalizana" × ni hawakumalizana✓, Hivi mlisoma vyuo gani nyie vi.laza?!
 
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
Sema ukweli maana nakuona unamshambulia wakili bila ushahidi wowote...alikuwepo ndani analijua jeshi la polisi lilivyo...mbona unamshambulia kama una maslahi na Kamishna wa uhamiaji? Ni ndugu yako au mnatoka kijiji kimoja? Ametekwa sasa kile alichokiongea ...Umekiona...
Kutetea Ni kosa,? Wivu na husda zimekujaa!
 
Sema ukweli maana nakuona unamshambulia wakili bila ushahidi wowote...alikuwepo ndani analijua jeshi la polisi lilivyo...mbona unamshambulia kama una maslahi na Kamishna wa uhamiaji? Ni ndugu yako au mnatoka kijiji kimoja? Ametekwa sasa kile alichokiongea ...Umekiona...
Kutetea Ni kosa,? Wivu na husda zimekujaa!
Duh! Boonge la ping pong!
 
Huyu bwana ni muhuni kama wahuni wengine na ana viashiria vya utapeli
 
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
Gazeti loote hili lakin umeandika utumbo, hizo twt zake tunazijua ila wew upo kazin kumsiliba bila hoja ya maana.
 
Mbona kama una ubaya nae? Mtu ana matatizo yake, anapambana nayo anavyoona inafaa. Wewe inakuhusu nini?
 
Hizo shule nyingine tulipoteza hela zetu kuwasomesha
 
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
Moja kwa moja post yako imeonesha bias!

Ni aina fulani ya mnufaika wa madhila na maovu wafanyiwayo waTz kwa sasa.

Stori za wakili zimeeleza kwa kina maovu wafanyayo Uhamiaji, namna mke wake alivyoacha kazi nk nk.

Unaelewa sheria za mtumishi wa umma kuacha kazi ndani ya saa24, nini impact ya mustakabali wake kimafao?

Na kama ulimsikiliza vizuri, kwa nini uongelee suala la kuacha kazi kwa mke wake ambalo alishaliongelea kirefu na hakuna popote anaposema kuwa anadai?

Halafu mambo ya kwenda Polisi na kwingineko unakokusema wewe, tayari alishatoa ufafanuzi kwa kirefu kuwa wajibu wa Polisi pia ni pamoja na kuzifanyia kazi taarifa hizi za mitandaoni na si lazima aende kuripoti, kwa nini haumuelewi?

Unaandika makala ndefu kutetea genge lako la waporaji badala ya kujenga hoja ama kulaani wote waliotajwa na Madeleka pamoja na CAG!

Ingelikuwa ni wewe umepata misukosuko ya kiuonevu yote hiyo kama aliyopata Madeleka, moto umekuwakia kisawasawa usingelichongoroa mdomo wako kutetea ufisadi, badala yake ungelijoin "the chain" bila ya kupepesa macho.

Sasa jana kakamatwa na watu wasiojulikana ikiwa ni aina ya watu wale wale wanaomtishia uhai wake, sasa unasemaje kwa hilo, umepata afueni au unalaani?
 
Huyu si ndio alikuwa anamlalamikia na kumtukana Magufuli?

Tulifikiri kwa kuwa Magufuli ameuawa basi mambo yake yote yatanyooka...

... maana aliyekuwa anamnyanyasa is no more.
Sijawahi katika clip zake zote zilizopo U tube kumsikia akimtukana Magufuli, isipokuwa alieleza kirefu uonevu aliotendewa na idara ya Uhamiaji.

Alieleza jinsi alivyomwandikia barua Rais huyo na namna Rais alivyotoka hadharani akimueleza boss wa Uhamiaji jinsi baadhi ya watuhumiwa walivyosingiziwa(kubambikiwa) kesi na ndiyo ikawa chanzo cha yeye kuachiliwa na kisha baaadaye kunaswa tena.
 
Mawakili wansoma sheria Ili waweze kudai haki zao Kwa mujibu wa sheria siyo Kwa mujibu wa mitandao ya kijamii; nimemshauri kama anakitu hakipo sawa aende kwenye sheria


Kutafuta popularity mitandaoni ni ushamba Kwa msomi; mwaka mzima analalamika TU Kila Siku bila kueleza Kwanini serikali inampuuza?

Mawakili au watanzania wote wakiwekeza kuandika matatizo Yao mitandaoni nakuchafua watu tutafika? Mwisho anafunguliwa deformation aanze kulaumu mahakama kumbe ni ujinga wake. Awali nilimpigia Sana kelele hapa JF lakini nimegundua ajitambui na nikija dar ntamtafuta nimweleze ukweli.

Umaarufu wa kijinga anatafuta; wanaharakati hatupo hivi. Anatuaibisha na nimemwambia mara kadhaa DM acha ujinga peleka hizi taasisi mahakamani kama ni kweli una haki na sisi tukuunge mkono yeye amekalia makelele na majungu TU.

Hakina Fatma wangekalia kuandika watu mitandaoni wasingewajibisha serikali, wanapeleka serikali mahakamani
kwa hoja mitandao inakuwa nyongeza TU

Mashaka yangu ni pale atakapowajibishwa Kwa makosa anayofanya yakuchafua watu then tukaanza kumlilia, lazima tukanyane hata Mimi nikikosa nakanywa najirekebisha.
mifumo ya kudai na kufuata sheria ilikwisha kufa miaka mingi, ajabu mtu mzima kama wewe hujui haya!
 
Niombe wananchi mtembelee akaunti ya tweeter ya Peter Madeleka mjionee ni mambo Gani yaliyopo kwenye hiyo akaunti. Mimi binafsi Siku amefariki JPM ndipo nilianza kumsikia huyu Bwana nikafuatilia baadhi ya stori zake na namna awamu ya Tano ilivyomtesa akiwa Gerezani.

Lakini nakumbuka baada ya kupitia historia yake na posts za watu dhidi yake kisha nikaona press release yake nilivuviwa kwamba huyu mtu ana stress au ni mtu amezoea kuabudiwa Sasa anatakiwa kuanza kuabudu.

For more than a year now naona analalamika lakini sometimes kulalamika Kwake anawasilisha hoja nzuri kabisa na anaonekana ana Nia nzuri ila Kuna agenda nyuma yake.

Kuna kipindi alipost Taarifa za kuacha kazi Kwa mke wake na kwamba anadai alipwe, pale ndipo nilipoona tunao Mawakili ambao awajaelimika. Pale ndipo nilipobaini kwamba kumbe huyu mtu hana maslahi mapana Bali yeye anapambana kuondoa utawala flani anaoamini kwamba ulihusika na kesi zake huko nyuma.

Leo nimesikitika tena kuona anaandika anataka kuuwawa, anapost Watumishi wanaotaka kumuua maana yake pamoja na kusoma Kwake Bado Hana Imani na Polisi, nilitegemea nione amefungua kesi ya jinai kabla yakuripoti kwenye mitandao na hivyo hao wenye nia ovu wasingeweza kuharibu ushahidi. Lakini nakumbuka iliwahi ripotiwa kwamba alikuwa askari Polisi means hata huko Polisi alikokuwa anafanya kazi awakumalizana vizuri ndiyo maana masuala yake mengi ya jinai anaweka mitandaoni.

Suala la mke wake nilitegemea aliwasilishe Kwa Katibu Mkuu kiongozi ndiye mlipaji na Mkuu wa utumishi lakini yeye analalamika mitandaoni; aina hii ya watu siyo wakuamini ni watu wabaya Sana wakipata madaraka.

Mimi Naamini watu waliumizwa na awamu ya Tano lakini nachelea kuamini kwamba akina Madeleka walikuwa hawana hatia, hadi akaingia kwenye bargaining na Kwa jinsi alivyo na uelewa mdogo wa namna yakudai haki Naamini atakuwa Kuna sehemu alikuwa anakula Kwa mrija Sasa mirija imekatwa.

Niwaombe wanasheria na watu wake wa karibu mkae na huyu Bwana mshauriane naye nakumrudisha kwenye mstari apate haki yake kama ifuatavyo.
1. Hoja ya mke wake kuachishwa kazi aiwasilishe kwa Katibu Mkuu kiongozi aachane na Uahamiaji wanaombabaisha. Afanye mambo proffesionally, anamdhalilisha mke wake kwakupost taarifa zake za ajira mitandaoni, anatumia vibaya utu wa mke wake.

2. Tuhuma za kuuwawa ashauriwe aende Polisi, kama anakosa Imani na Polisi maana yake anakosa Imani na Mhe. RAIS ambaye ni amri jeshi Mkuu.

3. Mshaurini asiendelee kutumia vipindi vya online na television kwa sababu yupo too emotional anaweza kupelekea chombo cha habari kufungiwa kwa sababu haonekani kujadili hoja anaonekana kujadili zaidi watu ambao may be anaugomvi binafsi nao.

4. Apunguze kutafuta kick, atafute pesa, awali kabla ya kufungwa watu wake waliofanya naye kazi wanaeleza mitandaoni alikuwa tajiri Sana, hakuwahi kuwatetea wananchi wanyonge aliwatetea mabeberu wenye Fedha Leo hii anapaswa kuanza kusimama na wanyonge, atetee wanyonge aachane na hizi siasa anazofanya.

5. Zipo dalili za wazi kwamba huyu kiumbe wakili msomi anavizia Ubunge au Nafasi ya Kisiasa, nimshauri asiwe moto sana awe baridi kidogo mambo yatapoa.

Hao watu wa Uhamiaji nakubali na nimekuwa naandika hapo kasoro zao mara Kwa mara na naweka ushahidi lakini Kwa namna Madeleka anavyotaka kuwaaminisha watu hasa kwenye mauji kupitia group la whatsapp hapana nasimama kuitafuta haki Kwa kumshauri afuate sheria.

Jeshi la Polisi na Katibu Mkuu kiongozi wakishindwa kufanyia kazi grevances zake na mke wake basi aje mitandaoni tumsaidie kupiga kelele. Asitumie social media kutafuta kick za kijinga, anadhalilisha taaluma na wanataaluma wenzake. Yeye anapaswa kuonyesha njia aje atuambie nimetafuta haki nikakosa Kwa njia rasmi siyo kutumia mitandao kuchafua watu wasioweza kujitokeza adharani kuongea.

Mawakili wa Tanzania jifunzeni kufanya kazi kitaaluma, acheni mehemko na kuenfluence maamuzi Kwa personal interest
Nyie ndio mnawatetea wapumbavu wakifanya ujinga eti waachwe mara sijui tusilipe kisasi. Suala la kulipa au kutolipa kisasi ni hiari ya aliyekwisha kutendewa. Acha alisanue tu kama noma iwe noma. Yaani hakuna kumwachia Mungu tunamaliza wenyewe.
 
Back
Top Bottom