Ukifuatilia kesi ya Nawanda kwa ukaribu utaona kabisa alitengenezewa zengwe. Viongozi chukuweni tahadhari, mahasimu wako kazini!

Alienda kufanya mapenzi kulingana na maumbile. Hilo sio kosa kisheria kwa wote wawili.
Kosa linakuja pale mwanaume anapomfanyia mwanamke mapenzi kinyume na maumbile.
Wanaume kuweni makini na sheria za mahusiano, zinawabeba sana wanawake.

unakuta mijanadume kabisa inamshabikia huyu malaya kwa hisia za kisiasa tu, haya matukio mengine uyasikie tu ila yatakapokukuta ndio utajua ushenzi wa hawa viumbe.
 
Kuwa kwenye parking na huyo binti (mpenzi/mchepuko,...) wake kwa muda huo hakuthibitishi ulawiti.
Mkuu wa mkoa kuwa club saa nane usiku hakuthibitishi ulawiti.
Labda atuhumiwe kwa kukosa maadili.
Tuhukumu kwa haki.
Hata hivyo, kama kuna uthibitisho zaidi, ni sawa.
Muhimu hapa ni kuwafundisha wote, Nawanda na huyo binti kuwa waadilifu.
Haya mengine tuache sheria ichukue mkondo wake.
 
Hayo yote yaliisha jibiwa yako kwenye youtube, na mengine humu Jamiiforums, ukiyahitaji yatafute ujipimie.
 
Kama Nawanda hakuvaa kondomu, binti anaweza kuchukua shahawa ukeni akaziingiza makalioni mwake, akatengeneza na viuchafu kidogo
Hii kesi imetengenezwa, ni vizuri kuwaibua watawala wahuni, lakini usiombe uka singiziwa kulawiti CHANGUDOA LILILO KUBUHU.
Utajuata maisha yako yote hata kulifahamu.
 
Yaani unaona dakika 19 ni chache mtu kubakwa? Hebu kuwa na huruma!
Binti aliisha sema yule alikuwa bwana wake au mtu aliye kuwa na mahusiano naye kimapenzi kwa muda, hivyo kusema alibakwa kwenye gari haikuniiingia akilini na hiyo time line, pili kuingiliwa kinyume na maumbile ndiyo kabisaa haikuingia akilini kwenye hiyo time line.
 
Inahitaji muda gani kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile?
Kubaka ndani ya gari kwa muda huo mtu mzima haiwezekani, kubaka ni kitendo cha kutumia nguvu, sasa huyo binti siyo mtoto mdogo, hadi alegee abakwe, na halafu abakwe kinyume na maumbile kwenye space hiyo ya gari?
Tusubiri ushahidi wa kimahakama tutaelewana.
Sitetei huo upuuzi lakini sioni kama inawezekana kwa mtu mwenye akili timamu.
 
Niliuliza swali, haujalijibu.
 
Hakufitwa ,alitombwa tu!
 
Mkuu hivi unajua kuwa hata ukifirwa au kifira Kwa hiari bado ni kosa!?
 
Hii kesi imetengenezwa, ni vizuri kuwaibua watawala wahuni, lakini usiombe uka singiziwa kulawiti CHANGUDOA LILILO KUBUHU.
Utajuata maisha yako yote hata kulifahamu.
Kweli kabisa, changu aliyekubuhu anatoa shahawa ukeni, na yuko tayari hata aingize mwiko makalioni kuonyesha kwamba kuna kitu kiliingia huko
 
Tatizo la sisi binadamu ukiwa na tabia fulani toka utoto, labda kupenda sana videmu, ulevi etc hata ukiteuliwa kuwa nani , utajibana ila hutaweza kuhimili, na kujikuta unaleta fedheha ambayo hata wenzako wanashindwa kukusitiri . Kwa mfano ile tu hali ya Mh kuwepo bar na kuingia na kitoto kwenye gari na kukaa nacho parking, au kuchati nacho kwenye simu live na technologia ilivyo mbaya wakati mwingine, inaonyesha kimaadili haipo vizuri. Hivyo basi hata kama kasukiwa mpango lakini aliyesababisha ni yeye mwenyewe kufanya mambo yaliyopelekea kutuhumiwa.yawezekana hata Ikulu kumuondoa ni ile dhana ya maadili tu kutokana na mazingira ya tukio lenyewe sio tuhuma husika, maana hizo ni mpaka zithibitishwe pasina shaka kortini. Kwa hivyo mchawi wa hili jambo ni yeye mwenyewe, he was not smart at all- Mh upo vetted unachat na vitoto vya "alfu mbili"?😡 Si unatengeneza ushahidi kabisa, that was a grave mistake
 
Mnashangilia ujinga, katengenezewa mtego naye akajaaa.
Kwa hiyo ukitengenezwa mtego kisha ukajaa mwenyewe inaondoa kosa ulilofanya. Mahakamani hawangalii kama umetengenezewa mtego au la, wanaangalia ushahidi tu. Ukiwa kiongozi unapaswa kuacha ujinga ujinga kama wa huyo mshtakiwa. Maadui hawakosi duniani, yani mtu mzima wa umri wake anaishi maisha kama ya machokoraa wa vijiweni.
 
unakuta mijanadume kabisa inamshabikia huyu malaya kwa hisia za kisiasa tu, haya matukio mengine uyasikie tu ila yatakapokukuta ndio utajua ushenzi wa hawa viumbe.
Kwa nini unatanguliza kinga ya ushabiki wa kisiasa? Je, hujafahamu kwamba huyo dada ni shahidi tu, ila Nawanda ameshtakiwa na Jamhuri? Kwa hiyo Jamhuri inafanya siasa chafu dhidi ya aliyekuwa mtumishi wake? Kwa ilipofika, ushabiki hauna nafasi, ni mwendo wa ushahidi tu. Mahakama itaamua kama amesingiziwa au ni kweli alitenda hilo, maana kuna vipimo vya daktari na pengine hata mkemia wa serikali
 
Unajua ma ana ya kubaka? Aliyekwambia RC alibaka no nani? Rc alifira,kufira she ria za Tanzania zinakataza hara kama mnakubaliana.Muwe mnatafuta maarifa kwanza.
 
Umesema "haiwezekani" then unadai tusubiri ushahidi wa kimahakama! Weka mhemko pembeni, nothing is impossible!
 
Inawezekana rc alimuahidi huyu binti kwamba atakuja kumuoa alafu binti akaja kubaini kwamba mheshiwa anampotea mda wake binti ameona kama mbwai na iwe mbwai maana kuna watu hutumia nyazifa zao kulaghai mabinti kwa kuwatumia kingono badae wana washiti.
 
Ukianza kuliwa na rc unajiona unaouwezo wa kuwakolomea DCs. Hapo Kuna namna alhaji mfiraji aneangushiwa zigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…