Ukifuta Namba Yangu, Niambie Ukweli – Usitoe Visingizio!

Ukifuta Namba Yangu, Niambie Ukweli – Usitoe Visingizio!

UHURUWANGU

Member
Joined
Mar 11, 2025
Posts
10
Reaction score
6
Ukitaka kufuta namba ya mtu, usiseme "simu iliibiwa" au "nilipoteza namba." Kuwa mkweli: "Nimefuta namba yako kwa sababu niliona huchangii maendeleo yangu kwa vyovyote."

Ukweli unaokoa muda na heshima!

Je, unadhani ni sawa kufuta namba ya mtu bila taarifa, au ni muhimu kutoa maelezo?
 
Back
Top Bottom