NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
nataka tujuzane wakristo kwamba ndoa zetu hizi za kikristo zimekaa kinadharia sana kuliko kiuhalisia, sheria hazijajitosheleza na ndio maana watu hukimbilia mahakamani maana wanaona kabisa sheria za kikristo bado haziwezi kutatua hali zao.
Ukristo unaweza kutatua tatizo hili bila kutegemea sheria za mahakamani? Inatokea kwamba kwenye uchumba hata wa zaidi ya mwaka mzima mwanamke alikuwa na adabu ya hali ya juu, anawapenda ndugu zako, na tabia nyingine nzuri kumbe ni kujifanyisha tu ili umuoe.
Baada ya kunasa kwenye mtego wake mambo ya nabadilika.
~ Anaanza kuwa na kiburi.
~ Anaanza kuchukia na kuwatukana wazazi na ndugu zako.
~ Unakuja kupata stori huko kwao ni washirikina, ila kujificha huwa anaenda kanisani (wapo washirikina wengi sana wanatumia hii style)
Hapo mmeshakula kiapo kwamba mtaishi kwenye shida na raha mpaka kifo. Ngoma chambire moto!
Hii hali inatatuliwaje?
Ukristo unaweza kutatua tatizo hili bila kutegemea sheria za mahakamani? Inatokea kwamba kwenye uchumba hata wa zaidi ya mwaka mzima mwanamke alikuwa na adabu ya hali ya juu, anawapenda ndugu zako, na tabia nyingine nzuri kumbe ni kujifanyisha tu ili umuoe.
Baada ya kunasa kwenye mtego wake mambo ya nabadilika.
~ Anaanza kuwa na kiburi.
~ Anaanza kuchukia na kuwatukana wazazi na ndugu zako.
~ Unakuja kupata stori huko kwao ni washirikina, ila kujificha huwa anaenda kanisani (wapo washirikina wengi sana wanatumia hii style)
Hapo mmeshakula kiapo kwamba mtaishi kwenye shida na raha mpaka kifo. Ngoma chambire moto!
Hii hali inatatuliwaje?