hapo huna cha kufanya zaidi ya kwenda bagamoyo
ukaoshwe,,,,maana huo ni mkosi.
kabisa lakini sio kwetu pemba
nimecheka mpaka basi, yaani kweli ni mikosi kama ni kuoshwa iwe kwa maziwa sio maji vinginevyo kakobe achukue nafasi yake apige maombi ya nguvu...
hivi kuna kitu kama hiki mkuu au ni hadithi tu???jambo kama hilo ni mkosi kabisa..
Ni sawa pia na kugundua mkeo anatembea na baba yake.
Ni mkosi mtupu...
swafinapemba ndo mkoje?
sidhani mkuu hii itakuwa mkewe anatembea na mkwewehivi kuna kitu kama hiki mkuu au ni hadithi tu???
hivi kuna kitu kama hiki mkuu au ni hadithi tu???
hivi kuna kitu kama hiki mkuu au ni hadithi tu???
Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake. Nasikia case hizi zipo nyingi, sasa najiuliza huyu mdada akigundua mumewe ni chakla ya jibaba fulani atafanyaje?
Atafute hili jibaba limege pia.
piga chini tu!Dunia hii ina mambo mengi ya kustaajabisha, moja wapo ni hili la jidume kuoa huku na lenyewe limeolewa! yaani kuna mwanaume mwenzie anamkula na kumhudumia kama yeye anavyofanya kwa mke wake. Nasikia case hizi zipo nyingi, sasa najiuliza huyu mdada akigundua mumewe ni chakla ya jibaba fulani atafanyaje?