Ukigusa tu kwisha!

Ukigusa tu kwisha!

Hii kiboko,yaani hapo ni % tisini hutakiwi
 
Hivi mtu hadi hapo anakuwa hajaelewa nini????lione kwanza,badala alale....................haloooooooooooooooooo!mashosti wangu watakuwa wamepata namna ya kutoa ujumbe!
 
hahahahhahaha lol
namwonea huruma
mpaka eledrtic fence balaa
 
No transpassing,especialy in the you know what,huko ulinzi ndo umewekwa balaa,ukigusa tu umeisha.Hahaha
 
Ha ha ha..........! Hii ya mwaka. Inaelekea jamaa alikuwa king'ang'anizi sana.
 
Back
Top Bottom