Ukihudhuria harusi au sherehe utagundua wazee wa ovyo wanaongezeka kwa kasi nchini

Ukihudhuria harusi au sherehe utagundua wazee wa ovyo wanaongezeka kwa kasi nchini

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ashakum si matusi,nawaheshimu wazee wangu ila tukubali wale wahuni na mabaharia wa miaja ya 90 ndio wazee wa sasa.

Kama hujui miaka ya 90 kulikuwa na wimbi la vijana kuzamia nchi za nje kupitia neli,tukiwaita mabaharia,achana na wahuni wa mitaa ya magomeni,manzese,tandale na temeke,wahuni hao sasa wamezeeka,wamekuwa wazee wa ovyo.
Nimehudhuria harusi nyingi hivi karibuni wazee wanacheza miziki kwa style za kihuni mpaka vijana wanaona aibu,wazee wansoozesha binti zao wanatoa nasaha za kihuni sana unajiuluza huyu ni mzazi gani huyu,

Wazee mnisamehe ila hamujaacha uhuni wenu,


Ukiwa na changamoto ya mahusiano ni bora utafute ushauri kwa kijana mwenzio sio hawa wazee wa siku hizi utalia
 
Ashakum si matusi,nawaheshimu wazee wangu ila tukubali wale wahuni na mabaharia wa miaja ya 90 ndio wazee wa sasa.

Kama hujui miaka ya 90 kulikuwa na wimbi la vijana kuzamia nchi za nje kupitia neli,tukiwaita mabaharia,achana na wahuni wa mitaa ya magomeni,manzese,tandale na temeke,wahuni hao sasa wamezeeka,wamekuwa wazee wa ovyo.
Nimehudhuria harusi nyingi hivi karibuni wazee wanacheza miziki kwa style za kihuni mpaka vijana wanaona aibu,wazee wansoozesha binti zao wanatoa nasaha za kihuni sana unajiuluza huyu ni mzazi gani huyu,

Wazee mnisamehe ila hamujaacha uhuni wenu,


Ukiwa na changamoto ya mahusiano ni bora utafute ushauri kwa kijana mwenzio sio hawa wazee wa siku hizi utalia
Sasa kama Baba Yako kacheza kihuni kwenye harusi, si uongee naye tu?
 
Ashakum si matusi,nawaheshimu wazee wangu ila tukubali wale wahuni na mabaharia wa miaja ya 90 ndio wazee wa sasa.

Kama hujui miaka ya 90 kulikuwa na wimbi la vijana kuzamia nchi za nje kupitia neli,tukiwaita mabaharia,achana na wahuni wa mitaa ya magomeni,manzese,tandale na temeke,wahuni hao sasa wamezeeka,wamekuwa wazee wa ovyo.
Nimehudhuria harusi nyingi hivi karibuni wazee wanacheza miziki kwa style za kihuni mpaka vijana wanaona aibu,wazee wansoozesha binti zao wanatoa nasaha za kihuni sana unajiuluza huyu ni mzazi gani huyu,

Wazee mnisamehe ila hamujaacha uhuni wenu,


Ukiwa na changamoto ya mahusiano ni bora utafute ushauri kwa kijana mwenzio sio hawa wazee wa siku hizi utalia
wazee wa hovyo sana asee mzee anakushauri honga hata laki uchakate utamu kunoga
 
Ashakum si matusi,nawaheshimu wazee wangu ila tukubali wale wahuni na mabaharia wa miaja ya 90 ndio wazee wa sasa.

Kama hujui miaka ya 90 kulikuwa na wimbi la vijana kuzamia nchi za nje kupitia neli,tukiwaita mabaharia,achana na wahuni wa mitaa ya magomeni,manzese,tandale na temeke,wahuni hao sasa wamezeeka,wamekuwa wazee wa ovyo.
Nimehudhuria harusi nyingi hivi karibuni wazee wanacheza miziki kwa style za kihuni mpaka vijana wanaona aibu,wazee wansoozesha binti zao wanatoa nasaha za kihuni sana unajiuluza huyu ni mzazi gani huyu,

Wazee mnisamehe ila hamujaacha uhuni wenu,


Ukiwa na changamoto ya mahusiano ni bora utafute ushauri kwa kijana mwenzio sio hawa wazee wa siku hizi utalia
Naomba kuuliza. Hivi kizazi huwa kinahama na mambo waliyokulia au wanayaacha?

Nasema hivyo kwa sababu, wazee wa miaka ya sabini wao wanapenda mziki wa dansi mfano msondo ngoma.

Utata unakuja pale hao mabaharia ambao wamekulia mziki wa bongo fleva akianza kuimba au kusikiliza bongofleva nyumbani watu wanaanza kumshangaa kisa ameoa na ana watoto! Sasa asikilize mziki gani wakati amekua anasikia bongofleva? Mbona wazee wao wakisikiliza Msongo ngoma hakuna anayewashangaa?

Jibu ni kwamba, kizazi kinahama na mambo yake. Subiri miaka inayokuja ya wazee wa kizazi Gen Z ndiyo utakubali. Kizazi hakina hata uwezo wa kuhoji ni uchawa tu!
 
Back
Top Bottom