Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

Ukiijua hii Saikolojia na tabia ya Askari Polisi, hawatakusumbua sana

Nimeshindwa kumalizia, sentensi zako ndefu sana bila vituo.
Low attention span. Je utaweza kusoma kitabu cha kurasa 500 ndani ya siku mbili? Bila shaka utakuwa unashinda Instagram au Tiktok.
 
Ahsante kwa Elimu nzuli kama ningewahi kusoma hiii post nadhani ningeweza kutoka mikononi mwao mwaka huu January nilikamatwa kwa kosa la uzuluraji hila niliwasumbuwa sana kwa sheria hila Leo ndy nimepata jibu kwann waliniona mtukutu na mwongeaji sana.Hila nili wini kwa sababu ya Goodfather kuja kunisaport.
 
Back
Top Bottom