Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi

Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi

Matango

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
535
Reaction score
118
Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi.

Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja.

Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane.

Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi, hata kama una uhakika kuwa salio ulikuwa nalo.
lazima uongeze tena salio na uingie mara ya pili ndiyo mtandao wao unakuunganisha na akaunti yako.

Hii maana yake nini? Si mara moja, ni wakati wote ninapotumia huduma hiyo ya simu. Au ndiyo kawaida?
 
Salaam kwa NMB au washirika wao wanaopitia humu kwenye jamvi.
Tofauti na Benki nyingine, kwa maslahi ya kibiashara majina siwezi kuyataja.
Naomba mwenye kujua ni tatizo la kiufundi au salio langu kwenye simu ni tatizo na kama kuna mwingine anapata tatizo hilo tjuane.
Ukiingia kwenye NMB Mobile inakwambia salio halitoshi, hata kama una uhakika kuwa salio ulikuwa nalo.
lazima uongeze tena salio na uingie mara ya pili ndiyo mtandao wao unakuunganisha na akaunti yako.
Hii maana yake nini? si mara moja, ni wakati wote ninapotumia huduma hiyo ya simu. Au ndiyo kawaida?
Kama unatumja USSD Kuingia kwenye Menu ya NMB ni lazima uwe na Salio kuu kuanzia kiasi cha 125Tzs. Kwa watumiaji wa Mtandao wa Tigo huwa hakuna Makato wao ni bure.
Kama hii ni changamoto kwako, nenda sajili namba ya Tigo kisha fika Tawi la NMB badili namba ya Mobile banking kuwa Tigo ili kukupa ufanisi

Karibu
 
Kumbe...Mimi App inaniambia eti niingize namba ya simu!
Use Original SIM.
Hapa huwa umebadili Chip ambayo umesajili kwa NMB Mobile App. Hivyo App haiwezi kufanya kazi endapo Chip inserted sio ambayo imekuwa registerd.
Kama namba uliyosajili haina bandle tumia Wi-Fi na si kubadili chip.

Hii inazuia access kwenye account yako endapo mtu atafanikiwa kujua namba yako ya siri kuweza kuingia kwa kutumia simu nyingine, bado itamtaka awe na Chip yako kitu ambacho ni ngumu labda akuibie na simu yenyewe.

Karibu
 
Use Original SIM.
Hapa huwa umebadili Chip ambayo umesajili kwa NMB Mobile App. Hivyo App haiwezi kufanya kazi endapo Chip inserted sio ambayo imekuwa registerd.
Kama namba uliyosajili haina bandle tumia Wi-Fi na si kubadili chip.

Hii inazuia access kwenye account yako endapo mtu atafanikiwa kujua namba yako ya siri kuweza kuingia kwa kutumia simu nyingine, bado itamtaka awe na Chip yako kitu ambacho ni ngumu labda akuibie na simu yenyewe.

Karibu
Hakuna changes
 
Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu
 
App yao tena ukiwa unatumia iOS matatizo yale yale haikubali kufunguka ukienda kujiunga ATM inakuletea mapicha picha nilishaikatia tamaa
 
Simbanking App ya CRDB usipokuwa na Salio la kawaida kwenye Simu hupati huduma, hii serikali sijui inataka kutupeleka wapi
 
App yao tena ukiwa unatumia iOS matatizo yale yale haikubali kufunguka ukienda kujiunga ATM inakuletea mapicha picha nilishaikatia tamaa
Kwaio unatumia IOS halafu unatumia na NMB? Nenda Standard Chartered au ABSA...
 
Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu
Wanaokukata sio NMB wanaokukata ni mtandao wa simu unao tumia
 
App yao tena ukiwa unatumia iOS matatizo yale yale haikubali kufunguka ukienda kujiunga ATM inakuletea mapicha picha nilishaikatia tamaa
Uliitolea taarifa?? Hata huduma kwa wateja
 
Angalizo.
Mobile Money Apps za Tanzania haziwezi fanya kazi kama katika kifaa chako VPN iko ON.

Jambo la pili hakikisha namba iliyosajiliwa kwa huduma ndio hiyo ina accceess ya internet na iko kwenye simu, maana at sometimes Wi-Fi pia huwa hupati huduma. Hii ni kutokana na sababu za kiusalama

Hakikisha una deal USSD umezima VPN

Simu za Line2, line iliyosajiliwa ndio iwe na bundle uifanye kama default SIM

TIGO Inatoa acccess ya USSD bila malipo kwa salio kuu

Kama bado unapata Changamoto fika tawi la benki wakupe Usaidizi
 
Achaneni na hiyo mifumo sijui MNB mobile au baking sim ni full kupigwa, hata ukihamisha sh 2000 wanakata pakubwa, ukiwa unamdai mtu wala usimwambie aweke kwenye akaunti wewe mwambie akuletee au uifuate kama mtu yupo karibu ukiwekewa milioni benki sio milioni tena,
 
Back
Top Bottom