Myfancyface JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 948 Reaction score 900 Aug 7, 2022 #21 Trubarg said: Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu Click to expand... Download NMB App.
Trubarg said: Sometimes natumia hadi mia tatu kuingia nmb mobile..y...yaani kwenye kukata miamia hawana ajizi.. but kukupa huduma uitakayo ni mtiti...inashangaa ngoma unazunguka tu hupati jibu Click to expand... Download NMB App.
Myfancyface JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 948 Reaction score 900 Aug 7, 2022 #22 John7371 said: Simbanking App ya CRDB usipokuwa na Salio la kawaida kwenye Simu hupati huduma, hii serikali sijui inataka kutupeleka wapi Click to expand... Sio kweli. Inahitaji bundle la internet sio hicho ulichosema.
John7371 said: Simbanking App ya CRDB usipokuwa na Salio la kawaida kwenye Simu hupati huduma, hii serikali sijui inataka kutupeleka wapi Click to expand... Sio kweli. Inahitaji bundle la internet sio hicho ulichosema.