Ukiitisha maandamano kupinga Tozo za Simu na Kodi za Majengo kupitia LUKU, watu wengi wanaweza kujitokeza

Dogo, kazi iendelee.Watanzania wameamua kujenga nchi yao
 
Dogo,Watanzania wameua kuijenga nchi yao,tulia.
Mkuu Watanzania wameanza kuamka hii SUSIA SUSIA imeanza kuiumiza hii Serikali haramu PAKUBWA TU! Na huu ni mwanzo tu ni lazima wasalimu amri WATAKE WASITAKE!
 
Watz waajabu sana. Tunapenda vitu vizuri vizuri kama barabara za lami, maji, umeme wa uhakika, hospitali, shule, na miundombinu mingine mizuri. Hizo hela zitatoka wapi, au tuendelee kukopa ulaya huku tukisema ni hela za ndani? 😁😂🤣

Mm nkajua tutaitisha maandamano kupinga matumizi mabaya ya hela za umma kama kununua wapinzani na ufisadi.
 
Mkuu,nchi hii in ya watu wachache hawafiki hata milioni moja.
Hao ndiyo wanaamua kipi kifanyike na hao ndiyo wanaochagua nani mwenye roho mbaya atakayezalisha mipango kandamizi na kumuweka kwenye nafasi ya utendaji.

Hata wakuu was vyombo vya ulinzi na usalama in watu wa jinsi hiyo hiyo.
Siraha yao ya kwanza ni vitisho kwa wananchi.
Watanzania ni waoga hawawezi kuandamana.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Let me use colourful language,,I think most of us like this ,maybe we are political masochists and CCM are our dommes...

And this is a problem all over the world right now.Juzi nimeona polisi nchini Australia wanawamwagia watoto wadogo under 10 years maji ya washawasha kisa hawakuvaa mask,,na wananchi kimya....kuna jambo linaendelea duniani,I can't comprehend what lkni linaendelea...In what era in the world would a government get away with all this shite and still be in power.....The American revolution started with an increase in the tax of "tea leaves " ,I repeat "tea leaves".....bado hujagusa Egypt huko na pengine🤣🤣🤣
 
Labda tungeazima robo ya wakenya wake kutusaidia, huku bado tumelala usingizi wa pono, ukifanya hivyo utaitwa gaidi na utaambiwa ww ni chadema

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…