Ukiitwa na Rais Ikulu Kwa mazungumzo rasmi ukakataa utafanywa nini?

Ukiitwa na Rais Ikulu Kwa mazungumzo rasmi ukakataa utafanywa nini?

Tangu mwanzo Chadema walishaomba kuonana na Rais! Kwa bahati nzuri Rais mwenyewe akianza kuonana na Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu kule Ubelgiji, wiki chache zilizopita!

Na jana ameonana na Mwenyekiti mwenyewe wa chama Mh. Mbowe mara tu baada ya kutolewa mahabusu, kutokana na ile kesi yake ya mchongo! Na taarifa rasmu imeshatolewa juu ya mazungumzo yao.

Nadhani katika hili, malengo ya Chadema yametimia kwa 100%.
 
Screenshot_20220305-093437.jpg
 
Lile Paka jike linauzi.Hakuna jinsi wataweza kunyong'oneza upinzani Tanzania.

Huwezi kumtesa mtu kwa miezi saba bila sababu yoyote ile kisha leo ujifanye kukutana nae kinafiki kwa kisingizio cha kujadili siasa za kistaarabu.She is hopeless sinner.Kudai katiba mpya ni siasa zisizo za kistaarabu?
Aseee [emoji2955][emoji2955]
 
Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?

Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?

Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?

Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?

Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Hajaitwa, yeye ndiye alikua akifanya maombi mara kadhaa ya kuonana na Rais, aliongea hata kwenye vyombo vya habari. Maombi yake yamekubaliwa
 
Rais wetu tunampenda. Kwa pamoja tuijenge nchi yetu. Mpango wa kumfunga na kumtesa Mh Mbowe ulisukwa wakati wa utawala wa yule mzee. Mama hahusiki.



Kuitwa na kuongea na Rais wa nchi ni heshima kubwa. Ni jambo lenye maslahi kwa Taifa.


JESUS IS LORD
 
Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?

Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?

Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?

Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?

Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Kwani kuna mtu amesema ukikataa wito wa ikulu utapata matatizo? Inamaana Mbowe katishiwa asipoenda ikulu?
 
Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?

Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?

Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?

Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?

Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Ila usije kua unataka kusema mbowe kaitwa ikulu. Kwa kauli ya samia mwenyewe mbowe ndio kaomba kuonana na samia.
 
Back
Top Bottom