Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Tangu mwanzo Chadema walishaomba kuonana na Rais! Kwa bahati nzuri Rais mwenyewe akianza kuonana na Makamu Mwenyekiti Mh. Tundu Lissu kule Ubelgiji, wiki chache zilizopita!
Na jana ameonana na Mwenyekiti mwenyewe wa chama Mh. Mbowe mara tu baada ya kutolewa mahabusu, kutokana na ile kesi yake ya mchongo! Na taarifa rasmu imeshatolewa juu ya mazungumzo yao.
Nadhani katika hili, malengo ya Chadema yametimia kwa 100%.
Na jana ameonana na Mwenyekiti mwenyewe wa chama Mh. Mbowe mara tu baada ya kutolewa mahabusu, kutokana na ile kesi yake ya mchongo! Na taarifa rasmu imeshatolewa juu ya mazungumzo yao.
Nadhani katika hili, malengo ya Chadema yametimia kwa 100%.