Chadema kwisha habari yao, babu duni alishaongea chadema nao ni CCM BMkuu kama umeitwa we tii na kwenda kuonana naye
Nalog off
Aseee [emoji2955][emoji2955]Lile Paka jike linauzi.Hakuna jinsi wataweza kunyong'oneza upinzani Tanzania.
Huwezi kumtesa mtu kwa miezi saba bila sababu yoyote ile kisha leo ujifanye kukutana nae kinafiki kwa kisingizio cha kujadili siasa za kistaarabu.She is hopeless sinner.Kudai katiba mpya ni siasa zisizo za kistaarabu?
Hajaitwa, yeye ndiye alikua akifanya maombi mara kadhaa ya kuonana na Rais, aliongea hata kwenye vyombo vya habari. Maombi yake yamekubaliwaEndapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Kwani kuna mtu amesema ukikataa wito wa ikulu utapata matatizo? Inamaana Mbowe katishiwa asipoenda ikulu?Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?
Ila usije kua unataka kusema mbowe kaitwa ikulu. Kwa kauli ya samia mwenyewe mbowe ndio kaomba kuonana na samia.Endapo Rais WA nchi akakuita Ikulu Kwa mazungumzo ukakataa kwenda kumsikiliza Kuna madhara yoyote unayoweza kuyapata?
Ukitii unaweza ukamsikiliza na baada ya kumsikiliza ukaona anataka kukutoa Kwenye msimamo wako unaweza kumkatalia?
Ukimkatalia ukabaki na msimamo wako vyombo vya usalama vya kiafrika vitakuacha salama?
Kama havitakuacha salama, uhiari wa mwananchi kuitwa kuonana na Rais upo wapi au ndo Ile kusema Mhe. Rais huku Afrika ndiye MWENYE maamuzi ya wewe umpende hata kama moyoni unamchukia?
Lini tutapata Rais ambaye atatumbua kumwita mwananchi akakataa siyo Kosa la jinai? Lini tutapata Rais asiyeamini kumfunga yeyote MWENYE mawazo kinzani?