Ukija Dar es Salaam hujaoa basi hutaoa kabisa kama usipoondoka

Ukija Dar es Salaam hujaoa basi hutaoa kabisa kama usipoondoka

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Habari wakuu,

Hii kitu sio utani kabisa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavosema, kwa kijana ambaye kakulia DSM katika ujana wake kuoa ni kipengele kizito sana, kuna kaka yangu toka nasoma shule ya msingi alikujaga DSM kusoma chuo, sasa alimaliza akapata kazi huko huko dsm, huwezi amini mpaka sasa anaenda 42 hajaoa, nyumbani tumemtafutia hadi mchumba lakini wapi, tena mzee kamlipia hadi mahali, brother alikaaga kimya simu, SMS alikuwa hajibu hadi Huyo mwanamke akaja kuolewa kwingine.

Aisee nimekuja DSM nimeangalia life style, nimekuja kugundua watu wanakunywa maziwa bila kufuga ng'ombe kabisa, tena kwa kujipimia kiasi anachotaka, haina haja ya kufuga ng'ombe(kuoa).

Toka nifike huku namimi nimejikuta naanza kwenda na huo mdundo, yaani nacheza huo mziki wa kidasalama ,juzi kuna rafiki yangu kanipeleka location moja daa ,kuta pisi zipo kwenye vyumba vidogo vidogo ,upaja huo mweupe ,kanga moko ,chuchu hizo tako hilo linawakaa ,aise Saidi kichwa huko chini akaanza kunisumbua kasimama wimaa ,sasa kosa wakat napishana pisi moja ikanipapasa huko ,Mara mmoja ananivuta shati ,anasema kwa buku mbili tu !!

Hee nikasema hizi si zile pisi nazoonaga jf kwenye Uzi wa warembo kuleee ..! Kuangalia mbele nakuta ni zenyewee kabisa ,zenyeweeeee !! Nikaona aisee buku mbili si pesa ,daa joto lilikuwa limepanda huyo ndani na Toto ,aisee Toto kanono kila kona ,nikaanza kuhema hemaa kama nakimbia mbio za kilometer wimbo wa burna boy , bila kupoteza muda ,vaa viatu na sox ingia uwanjan ,referee anasema goli moja tayari umeshinda unachukua kombe lako na kuvishwa taji la kushinda UEFA CHAMPION LEAGUE, sokomeza ukuni kwenye moto mpaka viazi jikoni viive ,daa peleka moto mpaka kileleni mlima Kilimanjaro ..!

Sasa wakuu naona naenda kuwa teja kabisa hayoo maeneo ,sion future kabisa ya familia ,natafuta nauli nirudi home ,vinginevyo naenda kupotea kabisa hii Dasalamu sio yangu kwa kweli ,hii aridhi ya dasalama sio ya kawaida wandugu ,sio bure ,...

Mimi narudi tu kuchoma mkaaa ,kesho Ubungo kukata ticket mapemaaa .


Uzi tayari

1627375336610.png
 
Mtoa mada bado wenge la ugeni linakuchanganya,imenikumbusha wakat nmekuja dar kwa brother,niliwehuka kwel na mbususu za kununua yaan ilikuwa daily,lkn baada ya kuzoea nikaaanza kuwaonea kinyaa wale wanawake na kupata mafikirio mengi yaan katoka mwenzangu kupiga + na majasho na mm naenda kupiga aisee nikasema NEHI NEHI..Asaiv nmetulia zangu nakula mbususu niliyoweka ndani pisi kali najilia vyangu na vile nmebandua maganda ya upya mwenyeweee basii burudaniiii...
 
Mtoa mada bado wenge la ugeni linakuchanganya,imenikumbusha wakat nmekuja dar kwa brother,niliwehuka kwel na mbususu za kununua yaan ilikuwa daily,lkn baada ya kuzoea nikaaanza kuwaonea kinyaa wale wanawake na kupata mafikirio mengi yaan katoka mwenzangu kupiga + na majasho na mm naenda kupiga aisee nikasema NEHI NEHI..Asaiv nmetulia zangu nakula mbususu niliyoweka ndani pisi kali najilia vyangu na vile nmebandua maganda ya upya mwenyeweee basii burudaniiii...
Daaa hii ni kwa ambao hela ya kumiliki pisii hakuna
 
Back
Top Bottom