Ukija Dar es Salaam hujaoa basi hutaoa kabisa kama usipoondoka

[emoji3]

Corona na ukimwi vinakuwinda
 
Toka code kabisa ya ulipopelekwa, watu nimatomaso wanataka wakaone iliwasadiki usemacho eh Bwana.
 
😁😁😁😁 Wewe mpuuzi umetuaibisha sana sisi raia wenzako wa Mikoani!! Haki ya nani tutafanya kikao haraka iwezekanavyo ili tukutumie nauli utoke huko haraka.

Maana tukichelewa tu, tutakupoteza mazima!
 
Unipitie hapa "stendi"nikupipe kazawadi kidogo
 
Kuoa ni maamuzi na kutikuogopa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3] kuwa makini brother... Hao dada wakujiuza kuwa makini nao aise na usizoee iyo tabia maana me nawaonaga kama ni wagonjwa ivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kwa utani mwingi lakini una hoja nzito na ngumu sana kuna dada alikua mkalii maeneo ya mbezi kwa msuguli ni mcha mungu alikua anahudhuria mikesha kwa bishop mwamposa na gamanywa alikua mwanamke haswaaa ila chakushangaza alikosa mtu wa kumuoa saivi yupo bar moja kubwa maarufu anauza na kununuliwa
 
Kamanda unafahamu kwamba Mbowe yupo ndani karibia wiki sasa
Kyumea kweli wewee mbowenyo wako anatuhusu nini na njaa zake.

Uzi wa urodenga unatuletea watu walio changanyikiwa na maisha na wamechoka kwa kukosa kazi za kufanya.
Mbulenge sana weweee kumbe

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…