Ukija mjini kutafuta usipende kuendekeza kujuana na marafiki mliotoka Kijiji kimoja. Itakuwia vigumu kufanikiwa

Ukija mjini kutafuta usipende kuendekeza kujuana na marafiki mliotoka Kijiji kimoja. Itakuwia vigumu kufanikiwa

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Nimegundua jambo hili dogo sana ila lina effects nyingi katika utafutaji mjini hasa Dar es salaam.
Kwa mara ya kwanza nachongesha kitanda Dar nilimpa tender classmate wangu wa primary, akanifanyia madudu.

Kitanda nilikipata baada ya miezi kama 5 hivi huku ameniwekea chaga feki. Mara ya pili nilimpa kazi ya kupaua ndugu, rafiki na jirani wa nyumbani. Naye hakuwa mwaminifu kazi aliifanya vizuri ila alinifanyia ujanja kwenye mambo ya fedha.

Ni vyema kuwa na mawasiliano ya kawaida tu yahusuyo salamu na kusaidiana kidogo inapobidi tu.
 
Back
Top Bottom