Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanganyika wanataka
SERIKALI YA TANGANYIKA KUSIMAMIA MAMBO NA RASILIMALI ZA TANGANYIKA pekee NDIO SULUHISHO LA KUDUMU
Hivi katiba ya Zanzibar inavyofanya kwa MASUALA na RASILIMALI za Zanzibar na kuwatambua Wazanzibar peke yao
Katiba ya Tanganyika itafanya hivyo hivyo kwa upande wa Tanganyika
Kisha masuala machache ya muungano ya ulinzi nje fedha ndani ndio yawe ya muungano
Kwa ufupi NI WAKATI MUAFAKA KWA MALI RASILIMALI NA KILA KITU CHA TANGANYIKA KILINDWE NA KATIBA YA TANGANYIKA kando ya masuala machache ya MUUNGANO
NI HATARI SANA WAZANZIBAR KUWA NA UWEZO WA KUSAINI MIKATABA RASILIMALI ZA TANGANYIKA WANAWEZA KUIPA HATA SMZ MIGODI YA TANGANYIKA KUSIKIA mali mbalimbali za Tanganyika mfano MIGODI YA MAKAA YA MAWE KIWIRA INAMILIKIWA na SMZ na Wazanzibar kwa ajili ya Wazanzibar peke yao daima dumu
Julia's alituingiza chakaMuungano uvunjwe
Umesahau, nyimbo yao ya Taifa. Bendera yao, Rais wao.Zanzibar wakitaka kufanya chochote wanakuta kwenye (bunge la Zanzibar) baraza la wawakilishi pale Chukwani wanatunga na kupitisha sheria taratibu kanuni kwa ajili ya Zanzibar peke yao na kuweka kwenye katiba yao kando kinachoitwa katiba ya muungano.
Na ukiingia Zanzibar katiba inayotumika ni Zanzibar, Sheria Kanuni na taratibu za SMZ. Ikumbukwe Zanzibar wana
Ukija Tanganyika kila kitu ni cha Muungano. Ukiwa zanzibar kila kitu ni cha zanzibar bila kujali katiba ya muungano.
- SERIKALI
- BUNGE
- MAHAKAMA
- VIKOSI MAALUM
Case study suala la bandari.
Naunga mkono hoja 100%Muungano uvunjwe
Endelea kutumia hii dawa ni nzuri inakusaidiaNaunga mkono hoja 100%
KabisaJulia's alituingiza chaka
Tusisahau kuwapa maili kumi zao za ufukwe.Endelea kutumia hii dawa ni nzuri inakusaidia