Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?Bado Petroli ni nzuri zaidi kuliko Gas.
Pita hapo Magufuli hostel wamejenga kituo kikubwa sana cha kujaza gesi.Ni kweli kuna jamaa yangu ndio kazi yake, aliniambia hivyo pia. Changamoto zake;
1. Spark plugs zinakufa sana, yaani wanabadilisha sana plugs.
2. Hazina nguvu hasa kwenye miinuko.
3. Waki-switch kwenye petrol carburettor zinashindwa kufanya kazi kwa ufanisi(kumbuka hawawezi kutumia gas mda wote coz availability ni ndogo).
Ukiwambia hivyo madeleva wa bajaji sidhani kama watakuelewa.Bado Petroli ni nzuri zaidi kuliko Gas.
Bado vituo havitoshi mkuu, uhitaji ni mkubwa sana(wahusika wanasema hivyo).Pita hapo Magufuli hostel wamejenga kituo kikubwa sana cha kujaza gesi.
Sio hivo tu, Airport kipo, na tabata karibu na Ofisi za Nmb au Azam kituo kipoViwili tu Nchi nzima(ubungo na Tazara)
Hoja ya msingi sana hiiMbona ujaweka na garama ya kubadili bajaji ya petrol kutumia gas
Unaweka faida bira kuweka garama za kupata faida iyo
Tofauti na izo bajaji zilizotengenezwa maalum kutumia gesi je kuna madhara gan ya kubadili kitu kinachotumia petrol kutumia gas
Watu wanafanya biashara boss sio utani ni seriously kabisa. Ukipita barabara ya Sam Nujoma ukitokea Ubungo angalia upande wa Kushoto wa Hostel za Magufuli uone kituo kilicho funguliwa pale.Zakuambiwa changanya na zako😅