Ukijaza gesi ya Tsh. 6,000 kwenye Bajaji unapata faida ya Tsh. 50,000, ila kupata faida hiyo kwa Mafuta inabidi ujaze ya Tsh. 20,000

Ukijaza gesi ya Tsh. 6,000 kwenye Bajaji unapata faida ya Tsh. 50,000, ila kupata faida hiyo kwa Mafuta inabidi ujaze ya Tsh. 20,000

Ni kweli kuna jamaa yangu ndio kazi yake, aliniambia hivyo pia. Changamoto zake;
1. Spark plugs zinakufa sana, yaani wanabadilisha sana plugs.
2. Hazina nguvu hasa kwenye miinuko.
3. Waki-switch kwenye petrol carburettor zinashindwa kufanya kazi kwa ufanisi(kumbuka hawawezi kutumia gas mda wote coz availability ni ndogo).
Pita hapo Magufuli hostel wamejenga kituo kikubwa sana cha kujaza gesi.
 
Mbona ujaweka na garama ya kubadili bajaji ya petrol kutumia gas
Unaweka faida bira kuweka garama za kupata faida iyo

Tofauti na izo bajaji zilizotengenezwa maalum kutumia gesi je kuna madhara gan ya kubadili kitu kinachotumia petrol kutumia gas
Hoja ya msingi sana hii
 
Mnaangalia short term ,Ila service ya hiyo bajaji ikichoka ni hatarii.Chuma hicho hakikutengenezwa kuhimili joto la gesi ila mnalazimisha tuuu
 
Back
Top Bottom