Ukijijua kuwa ni 'smart', jificha sana.

Ukijijua kuwa ni 'smart', jificha sana.

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Habari za asubuhi Wanajamiiforums!

Kama mjuavyo, nchi yetu ina maadui wakuu watatu, ambao ni ujinga, umasikini, na maradhi.
Katika muktadha wangu, umasikini pamoja na maradhi vyote naviacha nyuma nikimfuatia huyu adui 'ujinga'.

Watanzania bado ni washamba wa watu werevu, watu smart. Ukishagundua wewe ni smart kwa kitu chochote chenye tija, basi jihadhari sana na jamii hii ya Watanzania walio wengi.

Wengi huwa ni watukanaji, wanaobeza, na wanaodharau wasivyovijua. Ukiwa smart utakuwa adui wa Watanzania wengi.

Ushauri:
Kwa mustakabali wa maisha yako, ukishajijua ni smart/exceptional, jitahidi ujihadhari. Jamii yako si rafiki.
 
Habari za asubuhi Wanajamiiforums!

Kama mjuavyo, nchi yetu ina maadui wakuu watatu, ambao ni ujinga, umasikini, na maradhi.
Katika muktadha wangu, umasikini pamoja na maradhi vyote naviacha nyuma nikimfuatia huyu adui 'ujinga'.

Watanzania bado ni washamba wa watu werevu, watu smart. Ukishagundua wewe ni smart kwa kitu chochote chenye tija, basi jihadhari sana na jamii hii ya Watanzania walio wengi.

Wengi huwa ni watukanaji, wanaobeza, na wanaodharau wasivyovijua. Ukiwa smart utakuwa adui wa Watanzania wengi.

Ushauri:
Kwa mustakabali wa maisha yako, ukishajijua ni smart/exceptional, jitahidi ujihadhari. Jamii yako si rafiki.
Halafu watu smart wanarogwa sana....
Tena ndio wanatekwa sana.
Taifa hili linataka mburulaz wanajiita CHAWA, wasio na akili hata kidogo, ambao wanaamini akili zao zinawatosha kusifia tu watu fulani ndipo waweze kuendesha maisha yao
 
Habari za asubuhi Wanajamiiforums!

Kama mjuavyo, nchi yetu ina maadui wakuu watatu, ambao ni ujinga, umasikini, na maradhi.
Katika muktadha wangu, umasikini pamoja na maradhi vyote naviacha nyuma nikimfuatia huyu adui 'ujinga'.

Watanzania bado ni washamba wa watu werevu, watu smart. Ukishagundua wewe ni smart kwa kitu chochote chenye tija, basi jihadhari sana na jamii hii ya Watanzania walio wengi.

Wengi huwa ni watukanaji, wanaobeza, na wanaodharau wasivyovijua. Ukiwa smart utakuwa adui wa Watanzania wengi.

Ushauri:
Kwa mustakabali wa maisha yako, ukishajijua ni smart/exceptional, jitahidi ujihadhari. Jamii yako si rafiki.
Naunga mkono hoja
 
Wakijua una kitu kichwani, watakupiga mawe, watahakikisha umekua mjinga kama wao, watasherekea anguko la upumbavu wako baada ya kukuangusha. My poor community ndio Iko hivyo uwh
 
Umeandika ukweli ila hapa kila mmoja atajifabya nae ni smart, hata wale dumbs
Hahahaha! Jamii yetu hii KWA MAKUSUDI kabisa imeamua kukataa maarifa, na kugeukia mambo ya kipuuzi, hivyo ujinga wa watu wake ni wa kujitakia. Ni jamii hatari sana, ni ya kukaa nayo kwa tahadhari.
 
Wakijua una kitu kichwani, watakupiga mawe, watahakikisha umekua mjinga kama wao, watasherekea anguko la upumbavu wako baada ya kukuangusha. My poor community ndio Iko hivyo uwh
Jamii hii imekataa maarifa. Imechagua upumbavu. Ni pumbavu kwa sababu imekataa maarifa. Imeamua kuwa jamii pumbavu(by far).
 
Back
Top Bottom