Ukijua maana ya hili fumbo...

Ukijua maana ya hili fumbo...

frenderPH

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2019
Posts
621
Reaction score
817
It is said a pizza is made round, packed in a sqare box and eaten as a triangle. If you can figure out why then you can out women.

Kwanini Pizza inatengenezwa kwa Umbo la duara, inapakitiwa kwenye box pembe nne na inaliwa kwe umbo pembe tatu. UKIJUA MAANA YA HII UTAKULA MADEM WOTE UNAOWATAKA

Nitatoa jibu mwishoni Nataka niwaone mmeelewaje fumbo la kupata kinyama cha hamu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Inatengenezwa round ili iwe rahisi kuiva (ref chapati).

Inapekiwa kwenye box kwasababu ya urahisi kubeba.

Inaliwa pembe pembe tatu sababu no rahisi Kula(hate matikiti huwa yanachongwa Kama pizza)
 
Sio inakua pembe tatu kwa ajili ya kuliwa na watu wengi
Inatengenezwa round ili iwe rahisi kuiva (ref chapati).

Inapekiwa kwenye box kwasababu ya urahisi kubeba.

Inaliwa pembe pembe tatu sababu no rahisi Kula(hate matikiti huwa yanachongwa Kama pizza)
 
Demu atakuzungushaa weee (duara) ila siku ukimbananisha kwenye 6*6 kitanda(squarebox) pozi zote kushney yaani root zake ni Geto-clinic-geto(triangle)

hahaha!! ila mi bangi kweli!!!!
 
Back
Top Bottom