DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatakukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Siku nyingine watakukaba.
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Wa ku request wasiliana na kampuni yake wamfungie
 
Wanachofanya jamaa ni self defense mana wakianza kutoa chenji wanapigwa na kitu kizito habari inaisha hapo so hawataki kujichelewesha akikufikisha mwisho wa safari yako,ni mwendo wa kuwindana tu,ukitoa ela kubwa shaaa anasepa nayo
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Lipa kabla ya kupanda ili akurudishie chenji kisha awashe chombo muondoke.
 
Kwa hiyo SEHEMU ya kulipa 1000 kama Nina elf 10 natakiwa nilipe elf 8 si ndivyo

Halafu BODABODA ni usafiri wa kila mtu hauna umaarufi tajiri Wala masikini
Bodaboda ni kama maji usipoyaoga utayanywa tu

Maana tafuta chenji kabla hujatumia usafiri huo usiku...

Unampa mtu 10,000 kwa safari ya 1000 halafu usiku wa manane, unatarajia apate vipi chenji?
 
Boda wanakuona wewe ndiyo Kibaka ndiyo maana huwa hawana mda wa kupoteza wanasave maisha pamoja na vyombo vyao
Kwa mtindo huo wa kuhangaikia chenchi boda wameibiwa sana na weingine kuuawa kabisa
Watu hupeana updates za mbinu wezi wanazotumia na nini cha kufanya kuwaepuka ndiyo maana umekimbiwa hadi na wale uliodhani unawaamini wanaotumia mtandao
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
UNASHUKA BILA KUPATA CHENJI UMELOGWA MPWAAAAAAAAAAA

UKISHUKAAA MMEMALIZANAAA KABISA

WAZOJEMA LAKN TUTALIFANYIA KAZIII
 
Back
Top Bottom