DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

DOKEZO Ukikodisha Bodaboda usiku Dar uwe na chenji kamili, la sivyo yatakukuta yaliyonikuta

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Nawapongeza sana hao bodaboda. Mtu una hela ya taxi afu unasumbua wengine kwa vibukubuku?
 
Kwa hiyo SEHEMU ya kulipa 1000 kama Nina elf 10 natakiwa nilipe elf 8 si ndivyo

Halafu BODABODA ni usafiri wa kila mtu hauna umaarufi tajiri Wala masikini
Bodaboda ni kama maji usipoyaoga utayanywa tu
ukisemacho ni kweli jana tu hapo nimetoka kumpeleka mtu maarufu sana IKULU tena kwa Pikipiki...ila baadhi ya waendesha pikipiki wanacho fanya kwakweli kinashusha hadhi. na kutufanya waendesha pikipiki wote wawe amnazo...!
Screenshot_20240103-124814.jpg
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Nafuu wewe umekuwa ukipigwa 10k..
Kuna mama alishushwa home usiku wa saa 5 hivi, akafungua pochi akachomoa burungutu wakati analipekua kutafuta noti ndogo ampe, bodaboda akakwapua lote akatoka nduki. Hadi watu wanatoka nje kutokana na ukunga wa mama, bodaboda ashatokomea kitambo
 
😂😂 Naona wakuu mmeamua kumkataa mtoa mada 😂 nchi ngumu sana hii
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatatkukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Si tulikubaliana wana JF wa Darisalama wote mna magari, imekuwaje tena?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kupanda Boda na Buku 10, kabla hata kumuambia boda ajue, hilo nalo ni ntihani, wengi katika hatua za kutafuta chenchi ndio wanakula nondo.
 
mk
jaribu kuendesha bodaboda utajua! Mchawi ni ile bodaboda akibadili kazi anakuwa normal
mkuu kwa hiyo mtu akiendesha bodaboda ndio awe wa hovyo...aisee kuna ngumu na za hatari kuliko hata hiyo bodaboda....tembelea machimboni kwenye migodi ukajionee......
 
Boda boda wanaamini mtu anayetoa 10,000 usiku ni mwizi Kwa sababu wengi wanakabwa Kwa hiyo style.
 
Hapo huenda alikuwa anajihami na nauli uliyotoa huenda ndio moja mbinu za wahuni huko barabarani
 
Kuna mtu unajitengenezea mwenyewe mazingira ya kuibiwa au kudhurika ikiwezekana hata kufa kabisa. Kuna vitu vya kujilinda mwenyewe kisha mazingira yako ndio yakulinde; haiwezekani wewe usiku labda saa sita au saa 7 unapanda boda ukiwa unajua kabisa una hela kubwa na hujatoa taarifa mwanzo wa safari ambapo angeweza kufanya mchakato hata kwa boda wenzie kabla ya safari. Hata kama ume-request mtandaoni kuna mazingira ya kujihami kwanza. Ile sio daladala kwamba atatangaza jamani mwenye chenji ya elfu hapo msaada no kwahyo tuwe serious na maisha tunajitafutia matatizo kwa ujinga wetu eti mimi mtoto wa mjini wenzio boda boda akili mbili upande anakuhesabu kama abiria upande anakuhesabu kama adui take care.
 
Kabisa.
Lakin mda mwingine kama chenji ni hela ndogo una muachia na yeye akanunue kahawa usiku kuna barid sanaa na wanafnya kazi usiku mzma
 
Kuna mazingira ambayo ni kama utapeli unaofanywa na Vijana wanaoendesha Bodaboda wakati wa usiku maeneo mengi ya Dar es Salaam wakati wa kurudisha chenji.

Kuna siku nilitoa Tsh. 10,000 baada ya safari ambayo ilitakiwa nilipite Tsh. 1,000 nilivyompa akafanya kama anatoa chenji lakini akakimbia.

Ikatokea tena siku nyingine nilitoa shilingi 5,000, akatakiwa kunirejeshea buku nne, naye akakimbia, nilihisi kwa kuwa natumia Bodaboda ambazo siyo rasmi kama zile zinazofanya biashara kw anjia ya mtandao, nikaamua ku request napo yakanikuta hayohayo.

Nimegundua kuwa Kisaikolojia Bodaboda wengi hawapo sawa kichwani, hivyo nitoe angalizo unapokodisha usafiri wa pikipiki usiku ni vizuri ukawa na fedha Taslim ya huko unapokwenda vinginevyo yatakukuta yaliyonikuta mimi mara kadhaa.
Wimbi la genge la vibaka, wezi na majambazi wameamua kujificha huko, sababu serikali imewavisha cheo kikubwa cha heshima 'Maafisa usafirishaji', huku wakitakiwa kuvaa nembo ya Taifa na picha halisi ya Samia vifuani mwao.

Usimuamini boda boda kwa vyovyote.

Hilo la chenji ni dogo, kubwa ni watu kama abiria kukodisha boda hasa nyakati za usiku na kujikuta wakizingirwa na kuporwa ana kuuawa kabisa.

Nadhani kwa hilo wakati unabagain nauli, uliza na chenji kabisa, kama hana, songa mbele kwa mwingine.
 
Back
Top Bottom