Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Nimemaliza kula muda mfupi uliopita. Nipo na kijana wangu ni mvulana wa miaka kumi. Ni mnene sana, na anakula kweli kweli. Jina lake la utani ni kibakuli kwa sababu ya unene wake. Ref (kibakuli wa kaole) yupo darasa la tatu. Nimemwambia mwakani ntampeleka akakae boarding school kwa ajili ya kujiandaa na mitihani ya darasa la nne.
Kaniuliza swali la kipuuzi lakini kwangu ni gumu. Kaniuliza hivi baba mimi nikikonda hizi nyama mwilini zinaenda wapi? Kwa kweli sikuwa na jibu zuri la kumpa. Nikaishia kujiuma uma.
Nyama kwenye mwili wa mtu kibobge/mnene zinaenda wapi ikiwa mtu anakonda?
Kaniuliza swali la kipuuzi lakini kwangu ni gumu. Kaniuliza hivi baba mimi nikikonda hizi nyama mwilini zinaenda wapi? Kwa kweli sikuwa na jibu zuri la kumpa. Nikaishia kujiuma uma.
Nyama kwenye mwili wa mtu kibobge/mnene zinaenda wapi ikiwa mtu anakonda?