yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Hayo siyo maisha aisee😀😀.Haiwezekani Kiongozi! Tukiwa kwenye kampuni flani ya Simi miaka 13 iliyopita tulikuwa tunakopa bank A ambayo imeingia mkataba na kampuni yetu loan ya miaka mi tatu unakaa na benki hiyo for one year, mnasikia kampuni imeingia mkataba na benki B basi nusu ya wafanyakazi wanahamia bank B wanavuta Tena loan huku mishahara imeamishiwa bank B. Wenye akili walikuwa wakipeleka kwa mkono wenyewe bank A wanadeposit wanakatwa loan maisha yanaendelea ingawa wengi waliishia miezi sita au mwaka Wana default. Ikipita miezi mitatu bank A wanakuja HR kulalamika mbona mishahara ya watu flani hatuioni? Duh msala hr anachofanya next month mshahara unarudishwa bank A halafu bank A wanakata arrears zao zote unajikuta huna fuba. Miezi mitatu bank B nao wanakuja ofisini kudai mishahara yao haiingii kwao! Duh ilikuwa balaa Standard chartered, Stanbic na KCB wamepata taaabu Sana. Baadaye hr wakawa wanacheki km huna deni unapewa km una mkopo Bado hupati, benki zikaja na kununua mikopo. Unanunuliwa mkopo wako, wanalipa unachodaiwa wanakupa chako. Basi ikawa Kuna wendawazimu benki ikikosea tu wakaweka pesa ikawa inahang bank A hawajakata Chao mtu anatoa nusu nzimaaa na kule bank B wanamuwekea wabongo nuksi ukiona masharti magumu yamewekwa ujue wenyewe tuliharibu. Watu Wanakopa bank ananunua gari, anabakiwa na km na m 2-3 mkononi, miezi mitatu amemaliza hiyo pesa anaenda kopa microfinance, miezi mitatu Tena anakopa kwa interest😂 wale wa laki moja unalipia Cha juu alfu 10 Hadi 15 wengine 20. Basi full madeni mshahara wote unalipia madeni tu. Ndo maana utakutana na mtu anafanya kazi nzuri tu lkn anapanga miaka 10 ht kiwanja Hana.
Watazipataje?Hata ukiweka chini ya godoro watazipata tu....
Na nini tena? Makato? Hivi mkuu nini tofauti kati ya makato na tozo?Tushavurugwa sie!
Kwahiyo niwe na amaniHaiwezekani
Maisha yamekuwa magumu ndo sababu ya kutolipaNinavyojua haiwezekani. Je nini kinapelekea kushindwa kulipa? Jibu la swali hilo ni muhimu sana
Wananyanyua godoro...Watazipataje?
Dah asante mkuu. Mimi hawa siwalipiHaiwezekani Kiongozi! Tukiwa kwenye kampuni flani ya Simi miaka 13 iliyopita tulikuwa tunakopa bank A ambayo imeingia mkataba na kampuni yetu loan ya miaka mi tatu unakaa na benki hiyo for one year, mnasikia kampuni imeingia mkataba na benki B basi nusu ya wafanyakazi wanahamia bank B wanavuta Tena loan huku mishahara imeamishiwa bank B. Wenye akili walikuwa wakipeleka kwa mkono wenyewe bank A wanadeposit wanakatwa loan maisha yanaendelea ingawa wengi waliishia miezi sita au mwaka Wana default. Ikipita miezi mitatu bank A wanakuja HR kulalamika mbona mishahara ya watu flani hatuioni? Duh msala hr anachofanya next month mshahara unarudishwa bank A halafu bank A wanakata arrears zao zote unajikuta huna fuba. Miezi mitatu bank B nao wanakuja ofisini kudai mishahara yao haiingii kwao! Duh ilikuwa balaa Standard chartered, Stanbic na KCB wamepata taaabu Sana. Baadaye hr wakawa wanacheki km huna deni unapewa km una mkopo Bado hupati, benki zikaja na kununua mikopo. Unanunuliwa mkopo wako, wanalipa unachodaiwa wanakupa chako. Basi ikawa Kuna wendawazimu benki ikikosea tu wakaweka pesa ikawa inahang bank A hawajakata Chao mtu anatoa nusu nzimaaa na kule bank B wanamuwekea wabongo nuksi ukiona masharti magumu yamewekwa ujue wenyewe tuliharibu. Watu Wanakopa bank ananunua gari, anabakiwa na km na m 2-3 mkononi, miezi mitatu amemaliza hiyo pesa anaenda kopa microfinance, miezi mitatu Tena anakopa kwa interest[emoji23] wale wa laki moja unalipia Cha juu alfu 10 Hadi 15 wengine 20. Basi full madeni mshahara wote unalipia madeni tu. Ndo maana utakutana na mtu anafanya kazi nzuri tu lkn anapanga miaka 10 ht kiwanja Hana.
Walinisumbua sana kwa simu na hatimae wameacha. Nikaogopa kwamba wanaweza wakawa wanashare taarifa na bank nyingine alaf wakaja kulamba hela yangu. Kumbe haina shidaHutakatwa,ila hutaweza kupata access ya mkopo mwingine kama utahitaji kutoka bank B.Siku hizi mabenki yana mfumo wa kushare taarifa za wanaoshindwa kulipa madeni(Defaulters).
Hii mikopo ya kutegemea mishahara mingi ni unsecured(na tayari inakuwa imekatiwa bima).
Utasumbuliwa tu kwa simu zahapa na pale kila baada ya muda fulani ulipe deni lao.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app