Ukikopa Bongopesa ukachelewa kulipa wanawatumia sms wote unaowasilaiana nao

Ukikopa Bongopesa ukachelewa kulipa wanawatumia sms wote unaowasilaiana nao

Otman Moood

Member
Joined
Jul 12, 2022
Posts
27
Reaction score
12
App za mikopo mitandaoni kama Bongopesa wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba zak mawasiliano na phonebook ya mteja wao.

Screenshot_20240117-094133.jpg
Screenshot_20240115-100215_One UI Home.jpg
 
Hivi vikampuni kila siku vinalalamikiwa Humu hakuna namna ya kuwapiga ili wajifunze kuwa na akili.
 
Boss yaani wanadukua taarifa za watu wanatuma message kwa contacts zote daah
 
Hv kwani mkiombwa na hizo app kutoa permissions za kuona contacts na call logs huwa mnalazimishwa kuruhusu?

Acheni kuita vitu vidogo vidogo vya kijinga eti udukuzi, ww ndo unawapa hizo data
 
App za mikopo mitandaoni kama Bongopesa wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba zak mawasiliano na phonebook ya mteja wao.
Dawa ya deni ni kulipa.
Unakopa huku unakenua unaenda kubet na kufanya uzinzi. Pale vigezo na masharti vinaapoanza kutekelezwa mayoweeee kama chura wa mafurikoni.
 
Bongo Pesa would Like to Access your Contacts

Acept or Decline?


ACCEPT
 
Nataka nifute contact zote kwenye simu niweke za uongo ndiyo niwakope nione watamsumbua nani
 
App za mikopo mitandaoni kama Bongopesa wanatoa mikopo kwa riba kubwa sana na ikitokea umechelewa kuwalipa kwa muda wanawatumia SMS namba zote unazowasiliana nazo na kuwaambia umekopa na kuwaweka wao mdhamana.

Je kisheria ipo sawa hiyo kudukuliwa mawasiliano yako. Tunaomba kujua je wapo sahihi kudukua namba zak mawasiliano na phonebook ya mteja wao.

View attachment 3006756View attachment 3006757
Ukidaiwa wewe ni mtumwa wa anaye kudai kataa kudaiwa kataa kuwa mtumwa
 
Back
Top Bottom