gmosha48
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,399
- 1,481
hawana lolote watu wa hili kabila,matapeli wakubwa
Lazima utakuwa umeshajeruhiwa wewe. Pole zako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawana lolote watu wa hili kabila,matapeli wakubwa
hawana lolote watu wa hili kabila, matapeli wakubwa
hili kabila,.....................................
Kama kuna kabila lenye mila za hovyo dhidi ya wanawake Tanzania hii ni la wachagga. Wazee wa kichagga wanakula binti zao. Wazee wa kichagga wanakula hata wake za watoto zao. Aibu eti wanajifanya ndiyo ukisasa
Itabidi huyo binti afundishwe pia na mila ya 'U-PALESTINA!'
hawana lolote watu wa hili kabila, matapeli wakubwa
hata mi nisingekunywa aisee,kitu kimeriwa karibu na ukoo mzima halaf namimi nikatie domo langu huko, haiwezekani, Mtu ni afya bana!Mila zingine hazifai kwa siku hizi. Kama mtu ana kifua kikuu akuambukize kwa sababu ya mila?
Nani alikusaidia kujinga JF uje u comment ki hivi!!?? Acha umbea ww rudi FaceBook, hapa ni watu wa level nyingine, kizuri kisiwe kweli, kibaya kipondwe kweli ILA kwa hoja zenye mashiko...aya Dhibitisha maneno yako hapo juu au source???!!!
Jumamosi tulikuwa kwenye harusi ya ndugu yetu hapa Machame,ndugu yangu anaoa mwanamke kutoka DAR YAANI MZARAMO,mila zetu ni kwamba baba mzazi wa bwana harusi anachukua ""upata lwa wari"" maarufu kama mbege na kuria kidogo halafu kumkabidhi mtoto wake bwana harusi,na yeye ana riya kidogo na kumkabidgi baba yake,halafu tena baba ana riya kidogo tena na kumkabidhi bibi harusi ili ariye kidogo,lakini tunashangaa eti bibi harusi alitaka kukataa kuria ile mbege,kwa taarifa tu ni kwamba kile kitendo ni cha kimila na kinafanyika vile mbele za watu ili kuonyesha upendo katika familiya na umoja,sasa huyu dada yetu alikuwa hajui hayo??kama umekubali kuolewa na mchaga ujue hiyo ndiyo mila yetu,sisi hatuna mambo ya ngona na kanga moja kama huko kwenu,ukimpenda mchaga kubali yote
umesema?!Mkuu huwa inafanyika hivyo kwa ajili ya mambo ya biashara, katika hali ya kawaida huwa hawafanyi kabisa!
Sasa haya ya kutokuwa na lolote yametokea wapi tena, walikudunda kibuti nini una hasira?
Mimi naona hayo mambo yao wangefanya wenyewe. Itakuwa vipi kama wengine wakiwaletea za kuleta kwa mfano waseme ili kuoa binti yetu inalazimu baba wa bwana harusi aoshwe korodani zake kwenye kisosi kumtakasa?
Weeee ishia hapo hapo kabila ni letu na mila ni yetu haujaombwa kuchangia
mimi si mchaga lakini kwa kabla langu kuriya ni kunywa.Kuriya ndo nini hebu weka sawa mleta mada maana hiyo maneno sijawahi kuisikia kule R***o si unajua lugha yenu ilivyotofauti kulingana na mahali!
Heee pole sana kama tulikutapeli lakini si vyote uvionaji viking'aa ni dhahabuhawana lolote watu wa hili kabila, matapeli wakubwa
..Alikuwa anaogopa kuliwa denda na mashemeji na baba mkwe kwenye hicho kitochi...ukipenda boga penda na ua lake,