Hahahahaa...kabisaa,yaani hakosi thread mpya kila siku iendayo kwa MunguHuyu bwana mdogo mods wasipompa tuzo mwaka huu....watakuwa hawatendi haki kwa kweli....maana anajituma sana kwenye hilo suala.....
Hahahhh kweli aiseeHuyu bwana mdogo mods wasipompa tuzo mwaka huu....watakuwa hawatendi haki kwa kweli....maana anajituma sana kwenye hilo suala.....
MMU wewe ndo unaongoza nadhaniNyie kunawatu humu wanabandika thread kumikumi kwa siku, lkn all eyez on me
hahahahahaha haitokaa itokee. Behaviourist mbona hivyo lakini?Jje's jiandae kuumia!
mhhhh mbona hukuniambiaaaa, na ulikuwa unafanya nini na huyo alokupiga mzinga.Kama jana nilipigwa mzinga mpaka nikaumwa na njaa hapo hapo dadeki
Teh we jiandae kisaikolojia tumhhhh mbona hukuniambiaaaa, na ulikuwa unafanya nini na huyo alokupiga mzinga.
hihihihiiiiiiihiiiii