financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ok tulishakuzoea nondo zako ! Mara huonekani kidogo inatupa wasi, ila nice to know you are fine mkuu 👏Nipo...been good
Siku hizi nasoma kimyakimya tu [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok tulishakuzoea nondo zako ! Mara huonekani kidogo inatupa wasi, ila nice to know you are fine mkuu 👏Nipo...been good
Siku hizi nasoma kimyakimya tu [emoji3]
Ndio inaelekea mwisho hapo kwakoNatumai mu wazima sana.
Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli .?
NAmnyandua kwanza kupunguza hasira afu mahojiano baadae nisije kosa vyote bureeNatumai mu wazima sana.
Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli .?
Tunat......ana halafu nahakikisha nimemchuna vizuri napenĹşi nahakikisha tamuhilo halafu namtemaNatumai mu wazima sana.
Utafanya nini cha kwanza unapokuta meseji ya kimapenzi ya mtu mwingine kwenye simu ya mpenzi wako .je utafatilia kimya kimya ujue ukweli, au utaamua kumkalisha chini mpenzi wako na kumwambia ukweli .?
Majembe Auction Mart Ina Nafuu[emoji22]usiombe hi situation
Toa Taarifa Police Kwa IigiipiiKama napenda afya yangu nitamuacha..mapema asubuhi.
Uko vizuri sana. Privacy ni muhimu sana.Ngoja wenye wivu n mali zao waje kutoa muongozo, binafsi sishiki simu ya mpenz wangu nae yangu hashiki fullstop,Ila kama naiona huwaga sina mambo mingi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea na meseji yenyewe
Unaweza kuamua kuanza kunywa sumu au ukajinyonga kwanza.
Mara nyingi hao ni wale wanaopenda maisha rahisi, anakusanya hela kwwnu wote watatu. Haishiwi.Hii mambo ikikutokea kwa yule ulieweka kambi nzito aiseeeh aiseeeh aiseeeh...yahitaji moyo
Nshakuta dem wangu ana Conversation za wahuni wawili na mimi wa tatu na wote tunaitwa honey,love,darling.......yani ni kuAltenate majina tu respectively
Sitaisahau umbwa ile
Shenzi sana yuleMara nyingi hao ni wale wanaopenda maisha rahisi, anakusanya hela kwwnu wote watatu. Haishiwi.
Kabisa licha ya kuona meseji za mapenz anaweza kuta meseji za deals zako au miamala ambayo hujamshirikishaga ataanza kununa na kuona humshirikishi ktk mambo yako ya muhimu, ugomvi unaanzia hapoUko vizuri sana. Privacy ni muhimu sana.