Tembea popote, ingia ofisi yoyote lakini ikitokea umeingia katika ofisi iliyobandikwa maneno ya (Hatupokei Rushwa) Usirogwe kabisa ukajichanganya ukayaamini!
Hata Ukienda kituo cha polisi ukakuta bandiko kubwaa la HAKI ZA RAIA usipoteze muda kusoma!
We shughulika na kilichokupeleka!
Siku moja nilitembelea kituo cha polisi nikamkuta jamaa anasoma bango la HAKI ZA RAIA!
Nikamwambia BRO! "Ukimaliza kusoma ingia ndani wakakunyooshe" Akasema kivipi!?
Nikamwambia Soma hapo palipo andikwa kwamba "Afisa wa polisi anaweza kutumia nguvu ya kadri"
Hii nguvu ya kadri inayotamkwa inategemea na misuli ya mpigaji!
"Nguvu ya kadri ya baunsa ni kiama kwa mnyonge"
Usiyaamini hayo maneno! Ondoka!
Hata Ukienda kituo cha polisi ukakuta bandiko kubwaa la HAKI ZA RAIA usipoteze muda kusoma!
We shughulika na kilichokupeleka!
Siku moja nilitembelea kituo cha polisi nikamkuta jamaa anasoma bango la HAKI ZA RAIA!
Nikamwambia BRO! "Ukimaliza kusoma ingia ndani wakakunyooshe" Akasema kivipi!?
Nikamwambia Soma hapo palipo andikwa kwamba "Afisa wa polisi anaweza kutumia nguvu ya kadri"
Hii nguvu ya kadri inayotamkwa inategemea na misuli ya mpigaji!
"Nguvu ya kadri ya baunsa ni kiama kwa mnyonge"
Usiyaamini hayo maneno! Ondoka!