Ukikuta texts zake anatukana na alivyo ni tofauti. Ila ukija tena kutukuta utatushangaa...Sijui inakuaje hii

Ukikuta texts zake anatukana na alivyo ni tofauti. Ila ukija tena kutukuta utatushangaa...Sijui inakuaje hii

Unajua ni raha sana kupata demu ambae mnaendana Japo ni bht sana kupata madem wa dizain hii


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nina demu mmoja ni kama tumerogezeana. Nlianza kudate naye miaka mingi sana. Ana sura na umbo zuri.chura hips na kiuno kidogo.tatizo lake ni kuwa kichwani si mzuri sana ingawa ana diploma toka TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNT.

ni mswahili anaweza akaja kwenye game akiwa njiani mkatibuana akageuza akarudisha K home.ni kisirani sana. Anakuja kusema ooohh umechukua lodge mbali bajaji imenizungusha mi nmechoka.akikaa tena anapiga nakuja.

Sasa huwa tunaenda hivyo hivyo tunatibuana kinyama.atanitukana... unajifanya mzungu wakati we mbantu tu kama mimi....eti msomi kama ni hivyo kato....ne na wasomi wenzio.futa namba yangu.

Nami namwambia we tatizo lako mswahili.achana nami.tunaweza kaa hata miezi miwili.siku nipo tu naona texts yake. " Upo wapi nina nyege nataka tukato****ne"

Nami nikiona hiyo text basi nafanya utaratibu tunaenda tunagegedana...halafu atanisema weeee.... Nami namjibu kijeuri tunaagana au sometime tena tunatibuana kila mtu anashika hamsini zake.


Juz juz from nowhere kantumia texts ... " Nina nyege" nikamwambia "so what" akanambia "tafuta loom tukatom***ne" nikaona nimkere nikamwambia "kama ni loom tafuta wewe mimi naweza pata room tu" baada ya masaa mawili akanipigia simu niende lodge flan kweli nikamkuta tukakaamuana weeee.... Kila.mtu akashika hmsini zake.hatujatafutana tena mpaka leo.

Nasema huyu dada tumerogezeana au ni ujinga gani huu? Hata anajua nina date mtu mwingine ila anapotaka game anadai kibabe kama vile ni haki yake.

Sijui kama kuna mtu amewahi kuwa na uhusiano wa kipuuzi kama huu.
Na huyo ndio utamuoa na utadumu nae. Utakuja kutoa ushuhuda humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo ndo kama Mimi sina mahusiano maalumu ni ya kutiana na kusepa ....jaman
 
Nina demu mmoja ni kama tumerogezeana. Nlianza kudate naye miaka mingi sana. Ana sura na umbo zuri.chura hips na kiuno kidogo.tatizo lake ni kuwa kichwani si mzuri sana ingawa ana diploma toka TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNT.

ni mswahili anaweza akaja kwenye game akiwa njiani mkatibuana akageuza akarudisha K home.ni kisirani sana. Anakuja kusema ooohh umechukua lodge mbali bajaji imenizungusha mi nmechoka.akikaa tena anapiga nakuja.

Sasa huwa tunaenda hivyo hivyo tunatibuana kinyama.atanitukana... unajifanya mzungu wakati we mbantu tu kama mimi....eti msomi kama ni hivyo kato....ne na wasomi wenzio.futa namba yangu.

Nami namwambia we tatizo lako mswahili.achana nami.tunaweza kaa hata miezi miwili.siku nipo tu naona texts yake. " Upo wapi nina nyege nataka tukato****ne"

Nami nikiona hiyo text basi nafanya utaratibu tunaenda tunagegedana...halafu atanisema weeee.... Nami namjibu kijeuri tunaagana au sometime tena tunatibuana kila mtu anashika hamsini zake.


Juz juz from nowhere kantumia texts ... " Nina nyege" nikamwambia "so what" akanambia "tafuta loom tukatom***ne" nikaona nimkere nikamwambia "kama ni loom tafuta wewe mimi naweza pata room tu" baada ya masaa mawili akanipigia simu niende lodge flan kweli nikamkuta tukakaamuana weeee.... Kila.mtu akashika hmsini zake.hatujatafutana tena mpaka leo.

Nasema huyu dada tumerogezeana au ni ujinga gani huu? Hata anajua nina date mtu mwingine ila anapotaka game anadai kibabe kama vile ni haki yake.

Sijui kama kuna mtu amewahi kuwa na uhusiano wa kipuuzi kama huu.
Tumia akili bro
 
Nina demu mmoja ni kama tumerogezeana. Nlianza kudate naye miaka mingi sana. Ana sura na umbo zuri.chura hips na kiuno kidogo.tatizo lake ni kuwa kichwani si mzuri sana ingawa ana diploma toka TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNT.

ni mswahili anaweza akaja kwenye game akiwa njiani mkatibuana akageuza akarudisha K home.ni kisirani sana. Anakuja kusema ooohh umechukua lodge mbali bajaji imenizungusha mi nmechoka.akikaa tena anapiga nakuja.

Sasa huwa tunaenda hivyo hivyo tunatibuana kinyama.atanitukana... unajifanya mzungu wakati we mbantu tu kama mimi....eti msomi kama ni hivyo kato....ne na wasomi wenzio.futa namba yangu.

Nami namwambia we tatizo lako mswahili.achana nami.tunaweza kaa hata miezi miwili.siku nipo tu naona texts yake. " Upo wapi nina nyege nataka tukato****ne"

Nami nikiona hiyo text basi nafanya utaratibu tunaenda tunagegedana...halafu atanisema weeee.... Nami namjibu kijeuri tunaagana au sometime tena tunatibuana kila mtu anashika hamsini zake.


Juz juz from nowhere kantumia texts ... " Nina nyege" nikamwambia "so what" akanambia "tafuta loom tukatom***ne" nikaona nimkere nikamwambia "kama ni loom tafuta wewe mimi naweza pata room tu" baada ya masaa mawili akanipigia simu niende lodge flan kweli nikamkuta tukakaamuana weeee.... Kila.mtu akashika hmsini zake.hatujatafutana tena mpaka leo.

Nasema huyu dada tumerogezeana au ni ujinga gani huu? Hata anajua nina date mtu mwingine ila anapotaka game anadai kibabe kama vile ni haki yake.

Sijui kama kuna mtu amewahi kuwa na uhusiano wa kipuuzi kama huu.
Kimasikhara hivi hivi ulivyo mwehu unaweza tangaza ndoa na wakati red lights zote umeziona then baadae unakuja kulaumu ndoa mbaya.
Unapuuzia baadhi ya vijitabia wakati wa uchumba then unakuja kutaabika na kulalama wakati wa ndoa.
Kuna siku samaki alimpenda ndege(bird) penzi likakolea wakaamua kufunga ndoa baada ya ndoa likaja swali nani atamfuata mwenzie ili waishi pamoja? Je ni angani ama majini moral of the story ni kuwa tunaruhusu hisia zitutawale zaidi kuliko matumizi ya akili tunaamini watu watabadilika tukishawaoa.
 
Back
Top Bottom