Ukikutana na mbwa njiani kabondwa kaumizwa anatia huruma anataka umuhurumie . Chukua Jiwe lingine mbonde fukuza akafie mbele au kama unahuruma sana na mbwa muangalie tu then ongeza mwendo. Maana huwezi jua huyo alie mpiga na kumuumiza hivyo alimfanyia nini huyo mbwa, Huenda hata aliua kuku banda zima.
Tafadhari usije ukajiroga ukamchukua na kumpeleka nyumbani kwako ...nakuahidi pindi akipona hayo majereha na awe na nguvu atakuuma tena bila huruma na utajutia msaada wako.
By the way huu uzi hauhusiani na mbwa. Mtoto wa kiume usijifanye unahuruma sana utaumia na kudharaulika.
Elimu kila konaHujaitoa himu kweli?View attachment 2340857
Tunabalance maumivu ๐Kuna mtu kashapigwa tukio safi sana
๐๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutachoka sana kwa kweli...
Yani zamuzamu tu๐๐Tunabalance maumivu ๐
Hata kama kaitoa huko ila huku hatukuwa nayo na unajuaje kama hata aliyepost hiyo pengine ni yeye piaHujaitoa humu kweli?View attachment 2340857
Hili nalo tutalitizamaUkikutana na mbwa njiani kabondwa kaumizwa anatia huruma anataka umuhurumie. Chukua Jiwe lingine mbonde fukuza akafie mbele au kama unahuruma sana na mbwa muangalie tu then ongeza mwendo. Maana huwezi jua huyo alie mpiga na kumuumiza hivyo alimfanyia nini huyo mbwa. Huenda hata aliua kuku banda zima.
Tafadhari usije ukajiroga ukamchukua na kumpeleka nyumbani kwako, nakuahidi pindi akipona hayo majereha na awe na nguvu atakuuma tena bila huruma na utajutia msaada wako.
By the way, huu uzi hauhusiani na mbwa. Mtoto wa kiume usijifanye unahuruma sana utaumia na kudharaulika.
Hata wenzio walisema hivyo hivyo wanasaidia tu ...ila kilicho wakuta wanashuhudia kwa majonzi makubwaTatizo mkisaidia mnataka na mbusus and mbususu always comes with costs.
Kwani huyo mbwa ukimtibia hapohapo njiani bila kumpeleka nyumbani kuna shida, ama lah mpelek hospitali sahihi ya wanyama atibiwe na wewe ulipie kila kitu umwachie na balance kidogo(kama wewe una huruma sana) then ondoka umuache aendelee kujitibia.
Ili kuepuka kung'atwa basi wala usimfatilie kujua background yake mpaka ukamkuta pale wala usiwe na mawasiliano nae kabisa.
Tenda wema nenda zako.