Ukikutana na mbwa njiani

Ukikutana na mbwa njiani

Yahitaji moyo wa wanajeshi wa boko haram tofauti na hapo sio kwa mbwa

hawa tunaowakuta barabarani wanavyotia huruma,ushawahi muona mbwa aliepgwa

jiwe ule mlio wake kama mlango uliokosa kitasa,maumivu una ya feel wewe sasa kwann

usimsaidie,yahitaji moyo sana kumuongezea maumivu au kumpita bila kupunguza maumivu yake walau kidogo.

ikitokea kaniuma sio mbaya pia,always Ukiwa baba mwenye nyumba huwezi sumbuliwa na mbwa mgeni ''mbwa wenyeji wapo'' unafungulia banda tu anachangiwa na mbwa wenzie anarudi mtaani alipotoka na majeraha mara mbili yake.
Katika vitu ambavyo mwanaume anatakiwa kuwa navyo makini na attention muda wote ni hivi ila sema ujuaji ndio unatuponza
 
Ukikutana na mbwa njiani kabondwa kaumizwa anatia huruma anataka umuhurumie. Chukua Jiwe lingine mbonde fukuza akafie mbele au kama unahuruma sana na mbwa muangalie tu then ongeza mwendo. Maana huwezi jua huyo alie mpiga na kumuumiza hivyo alimfanyia nini huyo mbwa. Huenda hata aliua kuku banda zima.

Tafadhari usije ukajiroga ukamchukua na kumpeleka nyumbani kwako, nakuahidi pindi akipona hayo majereha na awe na nguvu atakuuma tena bila huruma na utajutia msaada wako.

By the way, huu uzi hauhusiani na mbwa. Mtoto wa kiume usijifanye unahuruma sana utaumia na kudharaulika.
kaka ndiyo umelijua leo? Pole ulidhani akishapumzika atasahau alikoanzia uhalifu hadi kubondwa hahahahahahah Pole
 
Mbwa kama dogi sio..mtie ngeu aendelee kuugulia mamivu mbele kwa mbele la sivyo utageuka kua mhanga atakuluma
 
Back
Top Bottom