Ukikutana naye........UTAMUULIZA?


Asprin sikuwa na mpango wa kucheka leo ila duh umenifanya nicheke kwa sauti hapa mpaka naulizwa umechanganyikiwa au imekuwaje
 
Mamushka haya maneno ya Busara ya Mungu huwezi yaandika kwa kikwetu nikupate zaidi...lol
Nakusalimu tu Mshiki!!

kwa kinyumbani unataka Meku?

mie mzima asante aisee...naamini na wewe Mungu anaendelea kukulinda na kukuongoza.
 


haya we gangamala unataka umuone...siku hiyo utashangaa kichakani inatokea sauti tu na mwanga na wewe unaanguka chali huko....
 

babu ODM Mungu amesema atakujibu maswali yako yote kwenye ndoto leo usiku
 
wengine wanasema mwacheni mama aitwe mama,

wengine wanasema mwacheni mungu aitwe mungu.........

hapo sijui wababa tupo upande gani wallahi.....?

ODM, pengine mie ningemuuliza Sir GOD hivi.........

''wajameni kulikoni mpaka kutuumba hivi tuhangaike na hizi baiolojia zetu,
kutwa kufuatilia/kutongoza mabinti, hebu tupe break kidogo na sie, mabinti waanze,
nao kuhangaika /kututongoza lol....inahusu.........''
 

Hapo unatamani Mungu akugeuze uwe wa jinsia tofautio wewe
maana atakuwa na hasira na wewe yaani balaa
 
haya we gangamala unataka umuone...siku hiyo utashangaa kichakani inatokea sauti tu na mwanga na wewe unaanguka chali huko....
Si tumeambiwa tumefanana naye? Kwani sisi tunafanana na mwanga?

babu ODM Mungu amesema atakujibu maswali yako yote kwenye ndoto leo usiku
Amen....ntafurahi sana.

Aiseee Mungu apitishe mbali, hachelewi kuzibadili hizi baioloji....... Kesho ukiamka mzee mzima unakojoa ukiwa umechuchumaa.......Mungu nakuomba usilikubali hili ombi la Bacha....hatari sana hii!

Hapo unatamani Mungu akugeuze uwe wa jinsia tofautio wewe
maana atakuwa na hasira na wewe yaani balaa
Hahahaha........ I TOLD HIM Yoooooo.... IGWEEEEEEEEEEEE!
 
Hahahaha........ I TOLD HIM Yoooooo.... IGWEEEEEEEEEEEE![/QUOTE]

Aise nimeenda kule jukwaa la siasa najisikia kuumwa kichwa ghafla
Hivi Mungu huwa anasikiliza maombi yetu kweli
Kwa nini tunazidi kudhulumiwa hivi na hawa mafisadi
Kwa nini wanalindana hivi
Kwa nini wanatuona kama mazuzu wasio na akili
Kwa nini wanazidi kutuonea hivi
Kwa nini .........ahhhh nina hasira
 
tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu....

sasa Mungu anafanana na nani basi? jiulize afu ujipe jibu mwenyewe
 
Hahahaha........ I TOLD HIM Yoooooo.... IGWEEEEEEEEEEEE!

Aise nimeenda kule jukwaa la siasa najisikia kuumwa kichwa ghafla
Hivi Mungu huwa anasikiliza maombi yetu kweli
Kwa nini tunazidi kudhulumiwa hivi na hawa mafisadi
Kwa nini wanalindana hivi
Kwa nini wanatuona kama mazuzu wasio na akili
Kwa nini wanazidi kutuonea hivi
Kwa nini .........ahhhh nina hasira[/QUOTE]


kumbe akili tunazo? zinatusaidia nini basi au ndo tunasubiri Mungu ashuke aje atusaidie kuwawajibisha mafisadi?
 


kumbe akili tunazo? zinatusaidia nini basi au ndo tunasubiri Mungu ashuke aje atusaidie kuwawajibisha mafisadi?[/QUOTE]

Mkuu nafikiri akili tunazo ila kuna mtu katuloga na aliyetuloga kashakufa so tumebaki kama hatuna akili tunaenda tuu
 
Mungu angekuja JF asingekanyaga Jukwaa la Siasa wala La Dini. Angeweka kambi MMU na Chit Chat.....Afu tungepata nafasi ya kumuuliza maswali yetu
 
kumbe akili tunazo? zinatusaidia nini basi au ndo tunasubiri Mungu ashuke aje atusaidie kuwawajibisha mafisadi?

Mkuu nafikiri akili tunazo ila kuna mtu katuloga na aliyetuloga kashakufa so tumebaki kama hatuna akili tunaenda tuu[/QUOTE]


sawa, hapo tatizo ni letu, maana tulipewa akili na tunashindwa kuzitumia...acha tuendelee kufisadiwa! (na nani alikuambia tumelogwa?...lol! ama lweli sisi ni mabingwa wa visingizio)
 
Hivi kwa nini mungu ni mwanamme?
Wallah ukimuuliza hili swali atakubadili jinsia. Usithubutu kukutwa!

sawa, hapo tatizo ni letu, maana tulipewa akili na tunashindwa kuzitumia...acha tuendelee kufisadiwa! (na nani alikuambia tumelogwa?...lol! ama lweli sisi ni mabingwa wa visingizio)
Hili ni swali jingine la kumuuliza Mungu.... Eti kuna uchawi? Kwanini anaruhusu wachawi waendelee kupeta?
 
We Ally wa kitaa! Umejuaje kama Mungu mwanamme? Kwani kuna wa2 wanajua mungu ni jinsia gani?
 
Mkuu nafikiri akili tunazo ila kuna mtu katuloga na aliyetuloga kashakufa so tumebaki kama hatuna akili tunaenda tuu


sawa, hapo tatizo ni letu, maana tulipewa akili na tunashindwa kuzitumia...acha tuendelee kufisadiwa! (na nani alikuambia tumelogwa?...lol! ama lweli sisi ni mabingwa wa visingizio)[/QUOTE]


Mkuu sisi tuna akili na tuna uwezo wa kufanya maamuzi ila ni mabingwa wa kusahau matukio na mengi yanapta kwa kuwa hatutilii maanani wala kuhoji tunajiridhisha tuu kuwa mambo yako sawa wakati tunaumia
 

Hivi kwa nini mungu ni mwanamme?

hivi kwani tunajua jinsia yake basi? hajulikani na yeyote ila ni kwa imani tu twakiri kuwa yupo. labda mfumo dume ulipelekea watu kumwandika kama ni mwanaume...
(eeh kwanza swali lenyewe si ilikuwa aulizwe Mungu?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…