Ukikutwa na aina yeyote ya uzazi wa mpango umekiuka agizo la rais

Ukikutwa na aina yeyote ya uzazi wa mpango umekiuka agizo la rais

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1151188



Wakina mama jihadharini na aina yeyote ya uzazi wa mpango. Tamko la rais ni sheria.
 
Inavyoonekana boss kubwa sio muumini wa nyota ya kijani. Sisi waumini tunacho kibarua cha kumuhubiria mpaka asilim na kuwa muumini mwenzetu wa nyota ya kijani!
 
Inavyoonekana boss kubwa sio muumini wa nyota ya kijani.
Anawadanganya tu hao wakoromije na watu wa Burigi. Mbona yeye hafyatui kama anaona ni jambo jema? Officially inasemekana ana watoto watatu tu. Za kuambiwa wanapaswa kuchanganya na za kwao
 
Write your reply...
kiukweli mzeebaba yuko sawa
hayo madude mnajichomekea sijui kwenye nini! sio mazuri
that's why wanawake wa siku hizi mnapata ma UTI,FANGAS, sijui kizazi kimefunga sababu ya hayo madude.
naunga mkono kilimo cha kufyatua watoto. sasa nina mmoja.
 
Back
Top Bottom