Ukila huku unamkodolea lazima ufike mapema...

Nipo serious ila najifungia chumbani maana nipo chuo hivyo hata nikinuka simsumbui mtuuu naoga tu endapo naenda chuo au naenda kwenye mihangaiko ila nikijifungia chumbani wiki nzima siogi
Still yo're not serious mkuu, kuoga kwani lazima uende mahali.
 
Yes kwangu mimi napenda mwili wangu ukinuka harufu mbaya na kutoa ukurutu shingoni hivyo sioni shida maana simbugudhi mtu na harufu yangu mbaya ๐Ÿ™‚
Wewe dogo ni fala sana ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Watawa wana jukwaa lao
Watu wa uchumi na tafuta hela wana lao
Watu wa katiba mpya wana la kwao

Hili MMU ni la kwetu sie๐Ÿ˜
 
Basi ntaanza kula madem wafupi wanene maana hawavutii


Hutakojoa nakwambia, unakuta jitu uki hug ulikusanye kifuani halikai, style moja tumbi kubwa hapinduki, ni sawa na unapiga nyeto, kama umeamua kufanya dhambi fanya yenye faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ