Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!...Hapa nimeshika mbu kama watano, sema watu nimewatafuna. Ilinsimwachie wenzie wakaj kumbeba wakampeleka kumtibu. Nikitafuna wengi ntapata malaria??
Hata memory storage unayotumia ilitokana na mtengenezaji kuwa na tatizo la kusahau..Stupidity
Na Kuna watu somewhere wanatarajia Vitu Vizuri kutoka kwa huyu Bwana mtoa mada just imagine alicho andika na akaki'Upload hapa
😂😂😂Dah!...
😂😂😂Aisee
😂😂😂😂Na hii hali ya hewa.View attachment 2604095
😂😂😂😂Umelewa nn leo mkuu?[emoji28]
Sent from my V2204 using JamiiForums mobile app
Utangulizi: Kwanza sio mbu wote hueneza malaria, ni wale aina ya Anopheles tu tena hata sio wote na pia ni mbu jike pekee tena aliye na vimelea vya malaria (Plasmodium), tena vimelea hivyo viwe katika hatua ya sporozoite na tena viwe katika tezi za mate za mbu huyo!Hapa nimeshika mbu kama watano, sema watu nimewatafuna. Ili nsimwachie wenzie wakaj kumbeba wakampeleka kumtibu. Nikitafuna wengi ntapata malaria??