mke wa mtu mtamu bana,asikuambie mtu,
mke wa mtu raha sana full maufundi, ila hatari kiaina
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
...😀😀 duuuuuuuh!....
...nasikia siku hizi kuna kikundi cha kukodiwa kufanya kazi hiyo, utunda utavishwa na picha utapigwa, balaa!
Huyo mama atakuwa analiwa na baba mchungaji au mzee wa usharika na itachukua muda sana kufahamu, kwa hiyo mwambie hasijisifu saaana, kwanza huyo ndie atakuwa analiwa vibaya mnokuna jamaa bingwa wa wake za watu lakini mkewe mlokole na she is very strong and respectable, yaani si kicheche
pia ni laanaKwa mila za kwetu za kitanzania, mke wako alipoliwa basi ni mbaya.
uko sahihi kabisa Mduduwashawashawahenga wanasema "Mkeo atakuwa ameliwa pale unapojua.kama hujui hajaliwa bado".wapenda wake za watu wakiliwa wa kwao waweza hata kuua
Nashukuru kwamba unafahamu hili (highlighted in blue)mke wa mtu raha sana full maufundi, ila hatari kiaina
Hahahaaaaaaaa hii imetulia ila siamini kama nikweli inategemea na msimamo wa mke uliyenaye na upendo wake kwako, Lakini kwanini ukamege wake za watu? Unazani utamwaga zaidi ya kwako? Kujitafutia maradhi tu. Sipo hakuna unafuu kusema eti zaidi wa rafiki zako mke wa mtu ni wa mtu tu haijalishi rafiki yako wala adui wako wote ni hatari kwako.
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
Mkuu kuwa makini ukimega mwenye mali akijua atakushikisha ukuta.
kumbe unakuwaga na kauoga fulani eeehh
kwahiyo huwa wanatoa hadi tIGO? mbona balaaHii ya kusema mke wa mtu ni mtamu mi hainiingii hata kidogo. Kama unaona ni mtamu kwa style, si umfundishe na mwanzako au ni mtamu wapi? Na mkeo ni mchungu wapi. Ina maana ni wake za watu tu ndio watamu au utamu unakujaje hapo? MPaka unafikia kumuoa mtu nadhani unakuwa umeshajua utamu wake ndo maana mkaoana na kwanini wewe umuone mchungu halafu mwanaume mwenzio ambaye anakusaidia ndio amuone mtamu? Inamaanisha wako kwake ni mtamu kwako mchungu, halfu wake kwako mtamu kwake mchungu. Hamna lolote uchafu mtupu. Wake za watu wamekuwa wakitoka kwa sababu huwa hamwalidhishi, au akifanya style mpya unaanza kumuuliza hii imeijuaje umeanza kwa hiyo wanakuwa wanaogopa kuwapa mavituzzzzzzzzz yaliyo tulia akienda huko nje anatoa vyote ambavyo alikuwa akikupa wewe unaona ni umalaya mapenzi ni usanii (ninamaanisha ubunifu) hivyo inabidi kila mara mtu abadilike na akibadilika unabidi ubadilike nae sio kuanza kumuuliza umeanza mambo yako.
kwahiyo huwa wanatoa hadi tIGO? mbona balaa
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
duh, hii hatari. WHAT GOES AROUND COMES AROUND!CERTAINLY,u r the one going wrong!
kama upo timamu na una afya yako nzuri UTAOA TU,no matter how long will it take.
.............and finally dear,by the time u get married,TUNAMLA MKEO INSTANTLY
jaribu halafu ubambwe ndo utajua mtamu au mcchungu.mke wa mtu mtamu bana,asikuambie mtu,
watch out wa-jina!, sio hatari kiaina, NI HATARI SANAAA, don try.mke wa mtu raha sana full maufundi, ila hatari kiaina