Hii ya kusema mke wa mtu ni mtamu mi hainiingii hata kidogo. Kama unaona ni mtamu kwa style, si umfundishe na mwanzako au ni mtamu wapi? Na mkeo ni mchungu wapi. Ina maana ni wake za watu tu ndio watamu au utamu unakujaje hapo? MPaka unafikia kumuoa mtu nadhani unakuwa umeshajua utamu wake ndo maana mkaoana na kwanini wewe umuone mchungu halafu mwanaume mwenzio ambaye anakusaidia ndio amuone mtamu? Inamaanisha wako kwake ni mtamu kwako mchungu, halfu wake kwako mtamu kwake mchungu. Hamna lolote uchafu mtupu. Wake za watu wamekuwa wakitoka kwa sababu huwa hamwalidhishi, au akifanya style mpya unaanza kumuuliza hii imeijuaje umeanza kwa hiyo wanakuwa wanaogopa kuwapa mavituzzzzzzzzz yaliyo tulia akienda huko nje anatoa vyote ambavyo alikuwa akikupa wewe unaona ni umalaya mapenzi ni usanii (ninamaanisha ubunifu) hivyo inabidi kila mara mtu abadilike na akibadilika unabidi ubadilike nae sio kuanza kumuuliza umeanza mambo yako.