Mambo ya msingi ni yapi? Maana linaweza kuwa la msingi kwako kwa mwingine likawa la kipuuzi, afu life is too short to be serious all the timeWengine wanawaza mambo ya msingi wewe unaanzisha UHARO JF,daaah
Ha ha huyu mjumbe ako na stress asameheweMambo ya msingi ni yapi? Maana linaweza kuwa la msingi kwako kwa mwingine likawa la kipuuzi, afu life is too short to be serious all the time
Mimi bila chapati tano na maharage sijisikii kabisaChapat moja inakaa kweli? Eb nitajarbu me nishashindwa kabisa
Ni mnyaama huyu mwana aseeMwamba mwenyewe mgunduzi wa diet[emoji847]
View attachment 2281981