Ukila moja hushibi, ukila tatu humalizi. Haya mambo bwana

Ukila moja hushibi, ukila tatu humalizi. Haya mambo bwana

Mambo ya msingi ni yapi? Maana linaweza kuwa la msingi kwako kwa mwingine likawa la kipuuzi, afu life is too short to be serious all the time
Muelekeze uyu Mwana anakosoa mada badala ya kukausha kama hajapenda
 
Kuna kitu cha mtori + chapati moja + pepsi ya baridi sanaaaa...
 
Mwamba mwenyewe mgunduzi wa diet🤗
290853032_1628244350909346_6840046045118563327_n.jpg
 
Back
Top Bottom