Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

[emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Siku nataka nijaribu.
Nitanunua ,nikae nyumbani,ninywe nione inavyokuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mtumishi mwenzangu.

Mimi kama baba mtumishi I won't recommend.

Changamoto ya pombe ni kwamba kuna siku tu utapitiliza.

Unaweza kuji condition kunywa kiasi fulani, na ukaweza ku maintain

Unfortunately, siku itafika utapitiliza.

Ukipitiliza, utajikuta;-

√ Umeongea kitu unplanned
✓ Umefanya kitu unplanned
✓ Umeenda sehemu unplanned
✓ Umepoteza some valuables
✓ Umeharibu baadhi ya vitu

Na mengine mengi.


Of course, ukilewa kidogo kuna vibe fulani huwa linakuja...very amaizing [emoji23][emoji23]

________________________________

Mimi nakunywa mvinyo mwekundu tu (Mainly, Drostdy Hof)...na kiukweli, hii ina health benefits lukuki.

Nonetheless, I know its just a matter of time siku moja ntazidisha na matokeo yake yatakua sio mazuri (hata kama ni miaka mingi ijayo)

Nakusudia kuacha by the way, nijikite kwenye non alcoholics. Nadhani kuna non alcoholic wines kama champaigne.
 
Mtumishi wewe unakunywa halafu unanishauri mimi nisijaribu .
 
Reactions: Pep
Mtumishi wewe unakunywa halafu unanishauri mimi nisijaribu .
Mtumishi the so called 'drink responsibly' inahitaji a lot of control and discipline.

Ili usiwe addicted, and usipitilize kiasi.

Nikiwa extremely busy, kwa mfano....naweza fika miezi kadhaa sijaonja mvinyo japo unakuwepo nyumbani

Hiyo discipline ipo mtumishi mwenzangu ama utanogewa unywe kila siku?
 
[emoji85]

Nina stress sana brother..hadi nawaza kutumia pombe,labda itapunguza machungu yangu na kunipa usingizi.

Kulala usiku imekuwa mtihani sana kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini

This has has broken my heart, mtumishi mwenzangu.

Look, Mungu aliyeruhusu hilo litokee is the same God unamuabudu sasa hivi.

And, unamuabudu kwasababu unajua He's able.

Stay positive please, Mungu mwenyewe anajua namna atakupa faraja kupitia amani yake ipitayo fahamu zote.

Kunywa pombe kuondoa stress ndo huleta addiction sasa, usiifikirie hii option tena.

I know you're strong and you'll get through this to God's Glory. Tunakupenda
 
Mimi nataka nistue tu kupunguza stress[emoji4]
 
Reactions: Pep
[emoji23]
Mkuu una maelezo mazuri

Mkuu pombe ni nzuri sana ukiijulia na ukanywa kwa starehe sio unafakamia kama vile ni mwisho wa dunia. Na usinywe pombe ili kulewa, kunywa kama starehe ukishachangamka basi ishia hapo. Kuna kiwango cha pombe ambacho ukikifikia basi ni full burudani unapata raha isiyo na kifani kama ni wa kucheka utacheka saana, kama ni kuongea utaongea kama cherehani, kama ni ku dance uta dance sana... ila ukishavuka hicho kiwango mambo yanaanza kwenda mrama na mwisho kuharibika kabisa!
 
Tatizo ninashindwa kulala.
Kuliko kutumia madawa ya usingizi,ni Bora nikawa nastua na wine kidogo,mambo safi nalala[emoji4].
 
Reactions: Pep
[emoji23]aiseee.

Mimi nataka nione inafananaje tu mdomoni..sitaki kulewa
 
Tatizo ninashindwa kulala.
Kuliko kutumia madawa ya usingizi,ni Bora nikawa nastua na wine kidogo,mambo safi nalala[emoji4].
Hapana mtumishi mwenzangu.

Naogopa unaweza ukazamia huko mazima ukawa addicted.

Unaamini katika Counselors?

Unadhani wanaweza kukusaidia?
 
Mimi nimeanza kunywa pombe nwaka1985 lkn kuna vitu jamaa kaviongerea kwangu ni vipya kabisa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Mimi kabla sijaanza darasa la kwanza nilikua najua ladha za pombe kali zote ukiniwekea kwenye glass ukaniuliza hii ni nini nakutajia. Enzi hizo miaka ya late 80's kulikua na VAT 69, Grants, Johnnie Walker, Dodoma Wine zote nilikua nimeshakunywa! Mzee wangu (RIP) alikua anajaza machupa kwa fridge kila mtu anajimiminia tu. Bia nimekuja kuanza kuzinywa baada ya kumaliza form six. Sasa hivi nina miaka 15 sijanywa bia kabisa, nakunywa glass moja ya wine na soda tu.
 
Hapana mtumishi mwenzangu.

Naogopa unaweza ukazamia huko mazima ukawa addicted.

Unaamini katika Counselors?

Unadhani wanaweza kukusaidia?
Siwezi kuzamia ,Amini nakuambia[emoji4].


Watanishauri nini sasa?
Ushauri wao hauwezi badili wala kufidia hasara niliyoipata.
 
Reactions: Pep
Siwezi kuzamia ,Amini nakuambia[emoji4].


Watanishauri nini sasa?
Ushauri wao hauwezi badili wala kufidia hasara niliyoipata.
As long as baba angekuepo asingependa kukuona unakunywa...

Then keep kinywaji away for him.

Last week tulikubaliana kwamba the best way to honor his time hapa duniani ni kufanya yale yaliyompendeza.

Kinywaji haikua among them, nasema uongo mtumishi mwenzangu?

Utakaa sawa tu, with time. Kuna auto-recovery Mungu ametuwekea wanadamu.

And, you won't believe it when that time comes.

Ofcourse, hutamsahau completely, hilo haliwezekani.

Ila situation itabadilika kutoka kuumia sana into adoring his memories.

Niamini mtumishi mwenzangu, I am speaking from a living experience.

I have also been there back in 2012


Stay strong, please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…