ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Lisemwalo lipo mkuu... watu wanareport vile wanafeel baada ya kunywaHizi mambo za Zanzi kukimbilia chini mnazotoa wapi, hii ni liquor kwa ajili ya digestion, sasa nashindwa elewa inaingilianaje na huko chini?
Yatakuwa tayari soon tu😂😂😂😂Marudio bado sana
Ahahahaaahaa uwiiii[emoji16][emoji16][emoji16]Nikilewa mitusi yenyewe hiyo, tena usini sogelee maana sichelewi kukupasulia chupa ya kichwa.
Daaaa maninaaa...Japo si mnywaji sana ila mara chache nilizolewa kidogo napandwa na genye hatari
Wity we ukilewaa unakua je?Ahahahaaahaa uwiiii[emoji16][emoji16][emoji16]
We una mashetani
Hizi mambo za Zanzi kukimbilia chini mnazotoa wapi, hii ni liquor kwa ajili ya digestion, sasa nashindwa elewa inaingilianaje na huko chini?
.Daaaa maninaaa...
Mim nikinywa grants ndio huwa zinakimbilia chinii[emoji1787][emoji1787]
Hehehe....nikizibuka ninakuwa na mizukaa ya kudrive balaa hata unikataze sisikiiWity we ukilewaa unakua je?
[emoji41]
Una balaaa weweeHehehe....nikizibuka ninakuwa na mizukaa ya kudrive balaa hata unikataze sisikii
Nadhan ninambeep Israel mtoa roho[emoji848]
Balaaa kidogoUna balaaa wewee
Hahah ukiwa na mupenzi inanoga Sana, maana nyege zile ni noumaa, Ni kujunjana mpaka kucheeeDaaaa maninaaa...
Mim nikinywa grants ndio huwa zinakimbilia chinii[emoji1787][emoji1787]
Hahahahaha! Duh kweli tungi nomaaaaNikilewaga huwa natongoza chochote kilicho mbele yangu..hata mbwa...hahhaa
Tutarudia kwa heshima yangu😂😂😂😂Marudio bado sana
HaiwezekanikiTutarudia kwa heshima yangu
Haha haha Ijumaa ndio hiyo tandika ramani ya weekend, baada ya kazi nyingi mixa kukwepa mishale sasa ni muda kuenda kimvulini na kula matunda [emoji3][emoji3][emoji3]Nakuwa mtoaji sana nakuwa naupendo ule wa kweli kabisa yani kifupi nakuwa "Nkundwe" Mahaba Matata
Hahahaha ticket ya ushahidi wenzako hua wanatembea na picha na sarafu za Europe.Ni kutongoza na kupiga stori za maisha yangu ya Ulaya,huwa ninatembea na ticket ya ndege ukibisha tu nakutolea
Nalog off
Kuna watu wabishi ukiwaambia Mi nimeishi Ulaya huwa hawakubali ndio huwa nawatolea ticket ya ndegeHahahaha ticket ya ushahidi wenzako hua wanatembea na picha na sarafu za Europe.