Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Nakuwa mtoaji sana nakuwa naupendo ule wa kweli kabisa yani kifupi nakuwa "Nkundwe" Mahaba Matata
Haha haha Ijumaa ndio hiyo tandika ramani ya weekend, baada ya kazi nyingi mixa kukwepa mishale sasa ni muda kuenda kimvulini na kula matunda [emoji3][emoji3][emoji3]
IMG-20210625-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom