Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nacheka leo

Ila anazingua. Ina maana ulikuwa huli lunch town? Daily cafeteria? Ukienda mjini basi bondeni kule [emoji23] Saint Anne mimi sizuruli sana, ila nikiingia eneo jipya lazima nilizungukie kwanza kabla ya kutulia.
Ilikuwa tunabadili tu kulekule.
Mwarabu,ujasi,tiba,cive,social,bondeni,ujasi ya bondeni basi inakuwa imeisha hivyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
8 kasoro? Ulale tu
Kuna kesho
Amin. Leo nlikuwa napiga mdudu pale collina. Unapasoma?

Saint Anne si ajabu ukakuta hatumii mdudu pia

20210730_205701.jpg
 
Siku hizi jiji limehamia bambalaga. Watapachoka tu[emoji23][emoji23]

Unapiga vyombo wapi wewe?
Hiyo ndio ile ya kama waenda kisesa?

Hapa panaitwa 'Nachatia ndani ya blanket [emoji23]
Kesho location itasoma The Hub then Bill's river / kurudi kulala.
Mimi sijui Dodoma nilienda kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kote huku sikujui[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijui Dodoma nilienda kufanya nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kote huku sikujui[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulienda kusoma dada. Si ulitumwa na Mbeya nzima? 🤣🤣🤣 wala usisikitike.

Unapajua sehemu gani sasa wewe? Si ajabu hata msalato hujawahi fika. Hata wine za kupima za Dom hujawahi kunywa 😂 dah
 
Back
Top Bottom