Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Please picha ya jicho lililolegea
Saa Hii hata camera haifunction
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Please picha ya jicho lililolegea
Usiwaze sana hela... hela kama pisi ukishazipa attention sana zinakukwepa. Jifanye huna time nazo, zinakushobokea balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo kahela kangu kotee nikalipe kodi kwa bia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soda 2-3 kwa siku.
Mimi ninachoweza kunywa ni Grand Malt.
Zile hata 10 nafuta zote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa Hii hata camera haifunction
Eish usinifanyie hivyoSaa Hii hata camera haifunction
Mambo yameparanganyika huelewi...moja haikai mbili haikaiSaa Hii hata camera haifunction
Hela ina vipaombele vingi.Usiwaze sana hela... hela kama pisi ukishazipa attention sana zinakukwepa. Jifanye huna time nazo, zinakushobokea balaa
Robertson [emoji23][emoji23]Sijawahi kunywa pombe.
Mwaka jana mwishoni nikaenda mkoa kukutana na mwenzangu. Mwenzangu akawa ana chupa ya wine kaiandaa tuinywe ndiyo tumegane.
Jina la wine limenitoka nahisi linaishiwa na neno 'son'
Nikauliza kama haina kilevi nikajibiwa haina kilevi nilivyoionja nikahisi ina ladha mbaya sijawahi jua, nikawa sitaki kuendelea, mama mtu anafosi niendelee.
Nikanywa viglass vinne si akaanza kujisogeza tumegane eeh nikawa mkali namwambia asinisogelee nahisi joto. Nikashuka kitandani nikalala chini, hapo nalalamika balaa, na ninajua nalalamika ila siwezi acha.
Kesho yake nikaamka mchana sauti imekauka kichwa kinazunguka. Hii ni experience yangu pekee ya pombe.
Hahahaa itakuwa hakupaelewa tu. Me mwenyewe platinumz ya Area D/C nilikuwaga siielewi.Waswanu anapika mdudu kumbe?! Nilienda nikageuzia mlangoni, niliyekuwa naye hakupapenda mazingira yale. Sijui mke wa mtu ah nisiwaze sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Anna asije akajiroga akaingia kwenye ndoa kabla hajaexperience haya maisha.
Ebwana ndiyo ni Robertson.Robertson [emoji23][emoji23]
Huyo naye alitaka akuonee tu. Hizo sio pombe za matumizi hayo, zinalegeza viungo.
Angeandaa zanzi hapo, inashuka chini chap mama watoto unamwona ananata huelewi. Yani akisimama kwenda chooni unatamani umpige gwara umle immediately.
Tutatumia ya kwangu... kwangu ni baraka, nitazidishiwa palipopungua. Una jingine jirani? Au nikirudi nije nikubebe [emoji23]Hela ina vipaombele vingi.
Kwanza kutoa hela yangu kununua au kumnunulia mtu pombe ni dhambi.. nadhani hata hicho kinanikwamisha mimi kujaribu kunywa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabaharia!Jicho lililogea lipi? [emoji12][emoji12][emoji12]
Zanzi?Robertson [emoji23][emoji23]
Huyo naye alitaka akuonee tu. Hizo sio pombe za matumizi hayo, zinalegeza viungo.
Angeandaa zanzi hapo, inashuka chini chap mama watoto unamwona ananata huelewi. Yani akisimama kwenda chooni unatamani umpige gwara umle immediately.
Sumu haionjwi ,zile feeling za kulewa zinakufanya unakuwa na over confidence ,hakuna unaachoona kinaweza kukushinda ,unakuwa pale CLOUD 9 juu kabsa hahhah[emoji85]
Nina stress sana brother..hadi nawaza kutumia pombe,labda itapunguza machungu yangu na kunipa usingizi.
Kulala usiku imekuwa mtihani sana kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Tutatumia ya kwangu... kwangu ni baraka, nitazidishiwa palipopungua. Una jingine jirani? Au nikirudi nije nikubebe [emoji23]
Mabaharia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeeSumu haionjwi ,zile feeling za kulewa zinakufanya unakuwa na over confidence ,hakuna unaachoona kinaweza kukushinda ,unakuwa pale CLOUD 9 juu kabsa hahhah
John kisomo 😆 shule ilikushika ukashikika. Ila napo ulisoma mbali na town yaweza kuwa sababu.Nyie watu[emoji38][emoji38][emoji38]
Mnaweza kumfanya mtu ajione mzembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi wa nchi kavu Mkuu meli sizijui [emoji23]
Sasa utest ukiwa ushaandaa mazingira usije ukaparamia watu!Zanzi?
I'll test it... Ni ya wapi? Ladha yake?