Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

As long as baba angekuepo asingependa kukuona unakunywa...

Then keep kinywaji away for him.

Last week tulikubaliana kwamba the best way to honor his time hapa duniani ni kufanya yale yaliyompendeza.

Kinywaji haikua among them, nasema uongo mtumishi mwenzangu?

Utakaa sawa tu, with time. Kuna auto-recovery Mungu ametuwekea wanadamu.

And, you won't believe it when that time comes.

Ofcourse, hutamsahau completely, hilo haliwezekani.

Ila situation itabadilika kutoka kuumia sana into adoring his memories.

Niamini mtumishi mwenzangu, I am speaking from a living experience.

I have also been there back in 2012


Stay strong, please
Nitakufa kwa kukosa usingizi.
 
Ikiwa weekend ndio imeanza mi nimeona ni share hii mada, maana mi nnapo kunywa pombe hasa pale nnapifikisha chupa ya 12 hua naanza kuchukua namba za simu za warembo wanaokatiza mbele ya macho yangu na nikifikisha chupa ya 18 hua nasogea kwenye viti virefu kaunta hapo sasa pombe baridi zinaanza kushuka huku zikisindikizwa na ala ya music laini nakamata pisi yoyote ambayo ipo bling bling nacheza nayo music huku nikimchombeza tuondoke wote tubadili kiwanja au tukalale mwisho mitego yote ikifeli namshawishi tukapige story kwenye gari kisha tutarudi akikubali tu kaisha.. ila kesho yake hua najuta kwanini nlikunywa kiasi kile mpaka nikafanya matukio kishujaa... share tabia yako baada ya kumoka View attachment 1874469
Hapa TnT eeeh?
 
Back
Top Bottom