fredrick mkinga
Member
- Jul 11, 2015
- 49
- 14
Huu mchezo hauhitaji hasira,...Tumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Kama ukijijua wewe sio wife material kaa pembeniTumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Sirudi ng'ooooo!!!!
Kama ukijijua wewe sio wife material kaa pembeniTumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Ha ha stunter chizi weweMCHUKUE DEMU UMPELEKE GHETTO HALAFU MPIME
KWA KUMPA JIKO LA MKAA ULIOLOWANA, AWASHE
MOTO MPAKA MANAILONI YOTE YAISHE HUKU
AKICHAMBUA MAHARAGE MAGUMU, AYACHEMSHE
YAIVE APIKE UGALI, MLE MSHIBE IKIFIKA SAA 12
KAMA ANAKAA GONGO LA MBOTO MPE NAULI 50O TU, KAMA AKIRUDI TENA KESHO MUOE KABISA HUYO
NI WIFE MATERIAL
Ha ha haUnampa adhabu alafu kesho arudi!!!Nakama atafahamu hiyo ndo jaribio la kutaka kuolewa atafanya ila uko mbeleni utajuta lazma alipize
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mlaze kwenye jamvi
Pitisha mchana wote bila chakula
Mpokonye simu yake asiwasiliane na mtu yoyote kwa wiki
Mlishe ugali na kachumbari kila siku
Usilipe luku mlale giza
Tembea nae kwa miguu mpk gongo la mboto
[emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Umeongea point tupu mkuu,Hivi hao wadada ambao hawatumii mkaa na au kuchambua\kula maharage wako wapi hasa? Bongo hii jamani asilimia kubwa ya raia ni hohehahe choka mbaya kabisa. Msichana wa kibongo atakayekimbia mkaa au mandondo atakuwa anaigiza tu. Hata kama wachache hawatumii wana ndugu zao kibao ni mafukara tu.
Acheni maisha ya kuigiza.
life is not a korean drama... wake up young girl this is africa!!Nwaigwe[emoji108] [emoji106] [emoji106] kwanza nitoke kwetu tuna mijiko ya umeme kila kona na gesi eti nikajipikilishe kwa mwanaume mamkaa nakuchota maji kisimani ,ivi nyie alie wambia kwamba wake ni mahousemaid ni nani ? Low life men utawajua tuu mpaka mawazo ni low
Utaendelea kuishi kwenu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nwaigwe[emoji108] [emoji106] [emoji106] kwanza nitoke kwetu tuna mijiko ya umeme kila kona na gesi eti nikajipikilishe kwa mwanaume mamkaa nakuchota maji kisimani ,ivi nyie alie wambia kwamba wake ni mahousemaid ni nani ? Low life men utawajua tuu mpaka mawazo ni low
Basi wewe Mme utamsikilizia Kwenye speaker za radio au jiandae kufanya ibada za kuvunja minyororo ili update Mme utakapofikia miaka 60 bila mme[emoji125] [emoji125] [emoji125]Sirudi ng'ooooo!!!!