Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

heh inamaana kizazi hiki hatutopata mwanamke hata mmoja kupitia njia hiyo?

HUPATI. Na wewe unajua sana ila unadanganya wenzako. Kwanza kumkalibisha binti sehemu isiyoeleweka huwa mnajifikiria. Wangapi wanaazima mpk magari. Kwa kuwa wanajua maisha lazima wayarahisishe ili watarajiwa wajue hawaolewi na mabwege.
Hii thread tunaipaisha tu haina lolote la maana. Am out fr here
 
500 kwenda Ngongo la mboto akiwa yuko wapi mkuu,maana naona umeandika kana kwamba wote tupo ulipo wewe
Popote tu wewe utakadiria nauli sawasawa ya daladala isizidi hata mia
 
MCHUKUE DEMU UMPELEKE GHETTO HALAFU MPIME
KWA KUMPA JIKO LA MKAA ULIOLOWANA, AWASHE
MOTO MPAKA MANAILONI YOTE YAISHE HUKU
AKICHAMBUA MAHARAGE MAGUMU, AYACHEMSHE
YAIVE APIKE UGALI, MLE MSHIBE IKIFIKA SAA 12
KAMA ANAKAA GONGO LA MBOTO MPE NAULI 50O TU, KAMA AKIRUDI TENA KESHO MUOE KABISA HUYO
NI WIFE MATERIAL

Lets be realistic. Habari za kupeana vitest sio issue. Tena vitest vyenyewe vya kupika maharage, who does know how to pretend.

Punguzeni kuwekeza mbinu na ubunifu kwenye mapenzi. Ndio kinachoturudisha nyuma kimaendeleo... kila ubunifu ni juu ya dyudyu.
 
Nikimpata huyo niko tayar hata kutoa mahar mil. 20 ikipungua nakopa benk maaana hyo ntakua nimetumiwa direct from heaven.
Hahahaha mbona wapo wengi tu mkuu? Hahahaha sema ndoivo sijui ni invisible
 
Tumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Umeolewa? Samahani lakini
 
Kama jaribio lako ndo hilo utakosa mwanamke wa kuoa
 
Kwa sababu me ni MTU wa mazingira ntaishia kwenye kuwasha moto..hahaha ..siwezi kuchangia uharibifu wa misitu yetu..
 
Back
Top Bottom